Kiwanda cha General tire - Arusha

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,288
Reaction score
5,762
Hivi tukifufua kile kiwanda cha Matairi Arusha ambapo miundo mbinu ipo kwa pengine 50% na tukasema tairi zote za magari ya kawaida ya Serikali Mikoa yote wachukue pale na majeshi yetu pia wachukue pale.nk

Bila kusahau soko la kawaida la secta binafsi; Hivi si tutakuwa tume serve mabilioni ya pesa kwa mwaka ikiwa ni pamoja na kuleta ajira ambazo pia zinakatwa kodi?

Pengine tukarejesha mtaji ndani ya miaka miwili au mitatu na kuanza kula faida. Nawaza tu!
 
Technology ya miaka 50 nyuma Leo itafanya kazi kweli?

Hilo jambo ni gumu dawa ni to privatize kwa masharti ya kizalishe matairi na sio serikali kukiendesha
 
Nani mwenye akili hiyo mwigulu?
I
 
Wakusanye mtaji kwa kuuza hisa, huku wakiwa tekinolojia Bora ila tekinolojia ya Matairi haija evolve kiasi hicho.

Pili kuongeza tax 50%, tarifs 25% kwa Tairi zinazotoka nje.
 
Unatakiwa uelewe kitu kimoja mzee icho unachokiwaza sio kwamba wakuu hawakuwaza ivo lakin jiulize kwanin
 
Unakuta Kuna mkubwa anahusika na tenda ya kuagiza matairi ya gari za serikali. Tenda ya pesa ndefu. Atakubali ulaji wake upotee?
 
Technology ya miaka 50 nyuma Leo itafanya kazi kweli?

Hilo jambo ni gumu dawa ni to privatize kwa masharti ya kizalishe matairi na sio serikali kukiendesha
Na ndio sababu nimesema miundo mbinu ipo kwa takriban 50% nikimaanisha hiyo 50% iliyobaki inahusisha kuleta technologia mpya to enhance safety, performance, and sustainability tofauti na tire za enzi zile
 
Serikali haiwezi kufanya biashara

Kwasababu kuna upigaji mwingi.

Pili mazingira ya kuendesha taasisi au shirika lolote chini ya serikali ni kama vile wanavyoendesha hospitali inafika muda ni kama huduma wanatoa na kuna usemi wao serikali haipati hasara, kwasababu wanajua watazichota kwenye kodi zenu.

Angalia Ttcl,tanesco, idara za maji,
Makampuni binafsi yangekua yanaendeshwa kwa mfumo unaotumika bongo yangekua yanakaa sokoni miezi 6 na kufungasha virago.
 
Na ndio sababu nimesema miundo mbinu ipo kwa takriban 50% nikimaanisha hiyo 50% iliyobaki inahusisha kuleta technologia mpya to enhance safety, performance, and sustainability tofauti na tire za enzi zile
 
Unataka waseme hivyo ili gari zipaki lwa kukosa matairi?! Biashara sio lengo la serikali bali ni kutoa huduma.
 
Point
 
Wazo zuri nalakukenga uchumi wa nchi kiujumla, sio baya kwakwel, shida nikwamba teknolojia ya kutengeneza matairi imebadilika sana tangia hichi kiwanda kugungwa, lazma mashine ziwe updated na hapo lazma hela itumike. Tatizo la sisi watu weusi ni ubinafsi wakipuuzi sana hichi kiwanda serikali ya #FISIEMU ndio ilikiuwa mambo yakukifufua yakashundikana kabsa kwa figisu zakutosha mwekezaji ikashindikana kupatikana. Huu ukanda wa kaskazini kuna viwanda vingi vimekufa coz ya figisu zakisiasa zisizo na maana yoyote. Hii mijitu kwakweli unatakiwa kuondoka madarakani
#FISIEMUkumbavuZenu
#TanzaniaAmka
#upuuziwasiasazaTZ
#UpuuziUnaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…