Serikali haiwezi kufanya biashara
Kwasababu kuna upigaji mwingi.
Pili mazingira ya kuendesha taasisi au shirika lolote chini ya serikali ni kama vile wanavyoendesha hospitali inafika muda ni kama huduma wanatoa na kuna usemi wao serikali haipati hasara, kwasababu wanajua watazichota kwenye kodi zenu.
Angalia Ttcl,tanesco, idara za maji,
Makampuni binafsi yangekua yanaendeshwa kwa mfumo unaotumika bongo yangekua yanakaa sokoni miezi 6 na kufungasha virago.