Kivuli cha Tuhuma Kinachowakabili Baadhi ya Vigogo wa CCM

Kivuli cha Tuhuma Kinachowakabili Baadhi ya Vigogo wa CCM

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
3,475
Reaction score
5,900
Tanzania Abroad TV
@AbroadTanzania


1. Mkataba wa kifisadi wa ITPL ambao unaihusu kampuni ya Tanesco.

2. Mikataba ya kifisadi ya kufua umeme na kuliuzia shirika la Tanesco; ufisadi wa mikataba ya Richmund, Dowans, Symbion, na mingineyo;

3. Ufisadi wa kutisha uliofanywa na kigogo wa CCM huko Loliondo; ufisadi wa kutisha wa kulifilisi shirika la TANAPA kwa bodi ya wakurugenzi wa kulipana US $ 10,000 kwa kila kikao;

4. Ufisadi wa kutisha wa kusafirisha wanyama pori wakiwa hai na kuwapeleka Uarabuni;

5. Ufisadi wa kutisha wa kuisamehe kodi kampuni ya Stwart ya Uingereza, kesi hii ipo mahakamani, lakini inaonekana Serikali inawapendelea washitakiwa (danganya toto);

6. Ufisadi wa EPA; ufisadi Meremeta;

7. Ufisadi Deep Green; ufisadi wa Mwananchi Goldmine;

8. Ufisadi wa 2010 ambapo Ikulu ilifisadi mabilioni ya pesa kwa kisingizio cha kuwalipia viongozi wa kimataifa;

9. Ufisadi wa kununua Radar mbovu;

10. Ufisadi wa kununua ndege ya rais; ufisadi wa Kagoda;

11. Ufisadi wa mikataba mibovu ya madini; ufisadi wa mikataba mibovu ya gesi;

12. Ufisadi wa kuuza ardhi ya watanzania; ufisadi uliofanywa katika kuingia mikataba mbalimbali na makampuni ya kutoka nje na yale ya ndani;

13. Ufisadi uliopo kwenye idara za wizara mbalimbali;

14. Wakati wa Kikwete ufisadi mkubwa uliofanyika kwenye mradi wa kilimo kwanza;

15. Wakati wa Mkapa ufisadi wa kutisha uliofanywa kwenye ubinafsishaji wa mali za umma;

16. Ufisadi wa kuuwa tembo na faru unaofanywa na wabunge wa CCM kwenye mbuga zetu za wanyama;

17. Ufisadi wa kutisha kwenye mashirika ya hifadhi za pesa za wafanyikazi (NSSF, NPF, n.k.); ufisadi wa pesa za vyuo vikuu;

18. Ufisadi wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu;

19. Ufisadi na uhalifu wa kujihusisha na biashara za madawa kulevya.

MARK MY WORDS


“There is no stone left unturned”
 
Tanzania Abroad TV
https://x.com/AbroadTanzania
@AbroadTanzania


1. Mkataba wa kifisadi wa ITPL ambao unaihusu kampuni ya Tanesco.

2. Mikataba ya kifisadi ya kufua umeme na kuliuzia shirika la Tanesco; ufisadi wa mikataba ya Richmund, Dowans, Symbion, na mingineyo;

3. Ufisadi wa kutisha uliofanywa na kigogo wa CCM huko Loliondo; ufisadi wa kutisha wa kulifilisi shirika la TANAPA kwa bodi ya wakurugenzi wa kulipana US $ 10,000 kwa kila kikao;

4. Ufisadi wa kutisha wa kusafirisha wanyama pori wakiwa hai na kuwapeleka Uarabuni;

5. Ufisadi wa kutisha wa kuisamehe kodi kampuni ya Stwart ya Uingereza, kesi hii ipo mahakamani, lakini inaonekana Serikali inawapendelea washitakiwa (danganya toto);

6. Ufisadi wa EPA; ufisadi Meremeta;

7. Ufisadi Deep Green; ufisadi wa Mwananchi Goldmine;

8. Ufisadi wa 2010 ambapo Ikulu ilifisadi mabilioni ya pesa kwa kisingizio cha kuwalipia viongozi wa kimataifa;

9. Ufisadi wa kununua Radar mbovu;

10. Ufisadi wa kununua ndege ya rais; ufisadi wa Kagoda;

11. Ufisadi wa mikataba mibovu ya madini; ufisadi wa mikataba mibovu ya gesi;

12. Ufisadi wa kuuza ardhi ya watanzania; ufisadi uliofanywa katika kuingia mikataba mbalimbali na makampuni ya kutoka nje na yale ya ndani;

13. Ufisadi uliopo kwenye idara za wizara mbalimbali;

14. Wakati wa Kikwete ufisadi mkubwa uliofanyika kwenye mradi wa kilimo kwanza;

15. Wakati wa Mkapa ufisadi wa kutisha uliofanywa kwenye ubinafsishaji wa mali za umma;

16. Ufisadi wa kuuwa tembo na faru unaofanywa na wabunge wa CCM kwenye mbuga zetu za wanyama;

17. Ufisadi wa kutisha kwenye mashirika ya hifadhi za pesa za wafanyikazi (NSSF, NPF, n.k.); ufisadi wa pesa za vyuo vikuu;

18. Ufisadi wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu;

19. Ufisadi na uhalifu wa kujihusisha na biashara za madawa kulevya.

MARK MY WORDS


“There is no stone left unturned”
Huyu abroad ni shoga mmoja kule Twitter ameanza kuliwa tangu akiwa darasa la saba anajua matumizi ya vilainishi sasa hiv anavaa pampers hana jipya
 
Tanzania Abroad TV
@AbroadTanzania


1. Mkataba wa kifisadi wa ITPL ambao unaihusu kampuni ya Tanesco.

2. Mikataba ya kifisadi ya kufua umeme na kuliuzia shirika la Tanesco; ufisadi wa mikataba ya Richmund, Dowans, Symbion, na mingineyo;

3. Ufisadi wa kutisha uliofanywa na kigogo wa CCM huko Loliondo; ufisadi wa kutisha wa kulifilisi shirika la TANAPA kwa bodi ya wakurugenzi wa kulipana US $ 10,000 kwa kila kikao;

4. Ufisadi wa kutisha wa kusafirisha wanyama pori wakiwa hai na kuwapeleka Uarabuni;

5. Ufisadi wa kutisha wa kuisamehe kodi kampuni ya Stwart ya Uingereza, kesi hii ipo mahakamani, lakini inaonekana Serikali inawapendelea washitakiwa (danganya toto);

6. Ufisadi wa EPA; ufisadi Meremeta;

7. Ufisadi Deep Green; ufisadi wa Mwananchi Goldmine;

8. Ufisadi wa 2010 ambapo Ikulu ilifisadi mabilioni ya pesa kwa kisingizio cha kuwalipia viongozi wa kimataifa;

9. Ufisadi wa kununua Radar mbovu;

10. Ufisadi wa kununua ndege ya rais; ufisadi wa Kagoda;

11. Ufisadi wa mikataba mibovu ya madini; ufisadi wa mikataba mibovu ya gesi;

12. Ufisadi wa kuuza ardhi ya watanzania; ufisadi uliofanywa katika kuingia mikataba mbalimbali na makampuni ya kutoka nje na yale ya ndani;

13. Ufisadi uliopo kwenye idara za wizara mbalimbali;

14. Wakati wa Kikwete ufisadi mkubwa uliofanyika kwenye mradi wa kilimo kwanza;

15. Wakati wa Mkapa ufisadi wa kutisha uliofanywa kwenye ubinafsishaji wa mali za umma;

16. Ufisadi wa kuuwa tembo na faru unaofanywa na wabunge wa CCM kwenye mbuga zetu za wanyama;

17. Ufisadi wa kutisha kwenye mashirika ya hifadhi za pesa za wafanyikazi (NSSF, NPF, n.k.); ufisadi wa pesa za vyuo vikuu;

18. Ufisadi wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu;

19. Ufisadi na uhalifu wa kujihusisha na biashara za madawa kulevya.

MARK MY WORDS


“There is no stone left unturned”

View: https://youtu.be/3lM_aVUjPmA?si=nhEqyEAwone_rvlU
 
Hata mimi inanishangaza sana, Taifa lina watu wa hovyo sana.
Hii nchi tayari ina laana ya haya MAJAMBAZI, MAJIZI NA MADIKTETA YA CCM.,
CCM NI WAHUNI KWELIKWELI! MAJITU YANATAMBA ATI " OKTKBA TUNA TICK" Kumbe ni KURA ZA KUBUMBA...Shame on you ma-CCM. Mwaka huu Mungu hawaachi salama sijui km Uchaguzi utakuwepo tena......Time gonna tell!
 
Tanzania Abroad TV
@AbroadTanzania


1. Mkataba wa kifisadi wa ITPL ambao unaihusu kampuni ya Tanesco.

2. Mikataba ya kifisadi ya kufua umeme na kuliuzia shirika la Tanesco; ufisadi wa mikataba ya Richmund, Dowans, Symbion, na mingineyo;

3. Ufisadi wa kutisha uliofanywa na kigogo wa CCM huko Loliondo; ufisadi wa kutisha wa kulifilisi shirika la TANAPA kwa bodi ya wakurugenzi wa kulipana US $ 10,000 kwa kila kikao;

4. Ufisadi wa kutisha wa kusafirisha wanyama pori wakiwa hai na kuwapeleka Uarabuni;

5. Ufisadi wa kutisha wa kuisamehe kodi kampuni ya Stwart ya Uingereza, kesi hii ipo mahakamani, lakini inaonekana Serikali inawapendelea washitakiwa (danganya toto);

6. Ufisadi wa EPA; ufisadi Meremeta;

7. Ufisadi Deep Green; ufisadi wa Mwananchi Goldmine;

8. Ufisadi wa 2010 ambapo Ikulu ilifisadi mabilioni ya pesa kwa kisingizio cha kuwalipia viongozi wa kimataifa;

9. Ufisadi wa kununua Radar mbovu;

10. Ufisadi wa kununua ndege ya rais; ufisadi wa Kagoda;

11. Ufisadi wa mikataba mibovu ya madini; ufisadi wa mikataba mibovu ya gesi;

12. Ufisadi wa kuuza ardhi ya watanzania; ufisadi uliofanywa katika kuingia mikataba mbalimbali na makampuni ya kutoka nje na yale ya ndani;

13. Ufisadi uliopo kwenye idara za wizara mbalimbali;

14. Wakati wa Kikwete ufisadi mkubwa uliofanyika kwenye mradi wa kilimo kwanza;

15. Wakati wa Mkapa ufisadi wa kutisha uliofanywa kwenye ubinafsishaji wa mali za umma;

16. Ufisadi wa kuuwa tembo na faru unaofanywa na wabunge wa CCM kwenye mbuga zetu za wanyama;

17. Ufisadi wa kutisha kwenye mashirika ya hifadhi za pesa za wafanyikazi (NSSF, NPF, n.k.); ufisadi wa pesa za vyuo vikuu;

18. Ufisadi wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu;

19. Ufisadi na uhalifu wa kujihusisha na biashara za madawa kulevya.

MARK MY WORDS


“There is no stone left unturned”
Hivi Samia akikumbuka ile ibara ya Katiba iliyomwezesha kupata urais atakuwa anajisikiaje.

Maana ni hiyo hiyo inayoweza kumwezesha Nchimbie kuchukua uraisi.

Hiyo ibara inaogofya kwa Rais aliyeko madarakani na inatamanisha kwa Makamu wa Rais.
 
Back
Top Bottom