Kivuko cha Magogoni chakwama

Kivuko cha Magogoni chakwama

poleni. kwa mimi ninavyoogopa maji ungekuta nimeshazimia hapo

Bila shaka tungekuwa wote..!! Maana ni balaa na kila siku nikipanda naomba sana hilo jambo lisitokee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hapana huko siwezi kwenda kwa boti wala meli labda ndege au gari kali lipo
Kama ni mimi nitakufanyisha mazoezi kwenye swimming pool, au nikupost kwa wale jamaa waofunza kuogelea kwenye maitiri pale coco beach
 
hapana hata sitaki kabisa
Kuna wimbo fulani wa zamani ulikuwa unamaneno yanasema 'kuishi kisiwani kuna utamu wake' siku ukijaribu lazima kila xmass utabadili njia..badala ya kwenda kule kwa kawaida utakuwa unapanda meli kwenda kisiwani..
 
Hicho kivuko si ilitolewa taarifa kuwa nacho kitakarabatiwa kama MV Kigamboni...!!!
 
Kuna wimbo fulani wa zamani ulikuwa unamaneno yanasema 'kuishi kisiwani kuna utamu wake' siku ukijaribu lazima kila xmass utabadili njia..badala ya kwenda kule kwa kawaida utakuwa unapanda meli kwenda kisiwani..

inawezekana lakini hata sijawahi kuwa na shauku kabisa ya kupanda boti
 
nimepanda


ok umekimbia maswali lakini kwa ujumla hata ukipanda ndege safari za nje ya bara afrika lazima utavuka maji. Na ndege ikikorofisha usawa huo basi mafikio ni baharini tu.

Usiogope sana maji Panda boti za Kilimanjaro ukatembee visiwani. Usalama wake ni mkubwa tu kuliko hata usafiri wa mabasi.
 
wajumbe wa BMK wanafilisi nchi wkt ata kivuko hatuna kumbe.!
 
magufuli aliwashauri kam unaona usumbufu kweny hivyo vizuko ogeleen
 
hiki kivuko huwa kinazimika mara kwa mara na serikali imekaa kimya tu.hadi maafa yatokee ndio utawaona na matamko yao.
 
Yaan tunapata shida kweli cc watu wa kigambon
 
Back
Top Bottom