Kivuko cha Magogoni chakwama

Kivuko cha Magogoni chakwama

Joined
Aug 1, 2014
Posts
34
Reaction score
14
Muda huu niko kwenye kivuko cha magogoni toka posta kwenda kigamboni. Kivuko kimeharibika katikati ya maji. TPA sasa hv ndo wanatusaidia. Hali ni mbaya sana.
 
Na vile kipo kimoja au na kile kingine kinafanya kazi?
 
Miaka yote Tsh.200/= tunanyang'anywa lakini haijaweza kununua panton nyingine..... Nchiii hiii ni ya kufikirika tu
 
Mi naumia na wale waliopiga pesa hazina bill200 zingetosha kununua kingine
 
Tunamshukuru Mungu TPA wamekipush push mpaka kimefika. Hali ni mbaya kwetu ss tunaofanya kazi kigamboni.
 
Tunamshukuru Mungu TPA wamekipush push mpaka kimefika. Hali ni mbaya kwetu ss tunaofanya kazi kigamboni.

Yaani hii mv magogoni italeta majanga wasipolishughulia tatizo lake kwa wakati.

nasi ndio tunakipanda tena muda huu, tumetangaziwa tatizo wameshalitatua. Ee Mola tunaomba tuvuke salama.
 
Sisi tunazama hapa mwenyewe yuko marekani anatalii tu hotuba za chini ya kiwango mpk unashangaaa
 
Kivuko kina umri wa miaka chini ya mitano tu lakini kimekwisha - Uchakachuaji wa mafuta na kikinyima service stahiki.
Kwa kuwa watanzania umezoea shida endeleeni hivyo hivyo.
 
poleni. kwa mimi ninavyoogopa maji ungekuta nimeshazimia hapo
 
Back
Top Bottom