king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,629
- 2,043
Wanajamii wenzangu!
Kwanza niwatakie mapumziko mema ya kumalizia weekend.
Tatizo kuu linalonisibu mimi, ni kuumwa sana hasa nyakati za baridi kiunoni na kwenye makorodani. Tatizo hili mara nyingi hunipa shida kiasi kwamba nikitaka kutembea natembea kwa shida na hata kubadili position nikiwa nimekaa huwa napata tabu kiasi.
Tatizo hili limekuwa ni la muda mrefu lakini halitokei mara kwa mara kwa wastani yaweza kupita hata miezi mitatu halijatokea. Na mara nyingi linapotokea huwa ni nyakati ambazo ninakuwa na appointment za kufanya mapenzi.
Ndugu zangu naombeni ushauri maana hali sasa ni tete. Nawashukuru wote mtakaotoa muda wenu kunisaidia kwa namna moja au nyingine.
Kwanza niwatakie mapumziko mema ya kumalizia weekend.
Tatizo kuu linalonisibu mimi, ni kuumwa sana hasa nyakati za baridi kiunoni na kwenye makorodani. Tatizo hili mara nyingi hunipa shida kiasi kwamba nikitaka kutembea natembea kwa shida na hata kubadili position nikiwa nimekaa huwa napata tabu kiasi.
Tatizo hili limekuwa ni la muda mrefu lakini halitokei mara kwa mara kwa wastani yaweza kupita hata miezi mitatu halijatokea. Na mara nyingi linapotokea huwa ni nyakati ambazo ninakuwa na appointment za kufanya mapenzi.
Ndugu zangu naombeni ushauri maana hali sasa ni tete. Nawashukuru wote mtakaotoa muda wenu kunisaidia kwa namna moja au nyingine.