Papaa Muu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 243
- 292
Kiungo wa kimataifa wa Uholanzi aliyesajiliwa na timu ya FC Barcelona, akitokea timu ya Ajax FRENKIE DE JONG Yupo Tanzania wilayani BABATI Kwa mapumziko na anatarajiwa kutembelea hifadhi ya Manyara, Tarangire na hifadhi ya jamii ya Burunge wilayani Babati.
#UtaliiTanzania
#UtaliiTanzania