GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Binafsi naona Viungo vyote katika mwili wangu vina umuhimu sawa hasa kutokana na uwepo wake ila nimedokezwa kwamba kumbe kuna ' Kiungo ' ambacho kilimlazimu ' Maulana ' kukesha kukifikiria, kuumiza kichwa chake kukibuni kisha hata katika ' mchakato ' wake mzima wa kukiumba alitumia muda mrefu mno na inasemekana pia hicho hicho ' Kiungo ' kilimtoa jasho japo mwishoni kilipokamilika nae pia alikifurahia kukiona kipo kwa Binadamu.
Je ni Kiungo gani hicho?
Karibuni.
Nawasilisha.
Je ni Kiungo gani hicho?
Karibuni.
Nawasilisha.