Kiuhalisia, wanaume ndio walitakiwa watongozwe.

Kiuhalisia, wanaume ndio walitakiwa watongozwe.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,485
Reaction score
3,562
Mtazamo wangu ni kua ingefaa wanaume ndio wawe wanatongozwa na kuombwa kuingia kwenye mahusiano na wanawake, regardless kama mwanaume ni handsome au la. Kwa maana
-wanaume ni wachache
-wanaume ndio wanachakalika na kuhudumia familia
- wanaume hutoa jibu haraka
kama ni hivyo, kwanini sasa wao wasiwe ndi wanatongozwa ie kuombwa?
Natamani experiece ninayoipata waipate wengine, kitendo cha kutongozwa unakua unajiamii na hubabashi hata kidogo mana wako wengi wanaokutaka.
 
Mtazamo wangu ni kua ingefaa wanaume ndio wawe wanatongozwa na kuombwa kuingia kwenye mahusiano na wanawake, regardless kama mwanaume ni handsome au la. Kwa maana
-wanaume ni wachache
-wanaume ndio wanachakalika na kuhudumia familia
- wanaume hutoa jibu haraka
kama ni hivyo, kwanini sasa wao wasiwe ndi wanatongozwa ie kuombwa?
Natamani experiece ninayoipata waipate wengine, kitendo cha kutongozwa unakua unajiamii na hubabashi hata kidogo mana wako wengi wanaokutaka.
Ningekujibu kadri niwezavyo kama wengine ila ngoja nikueleweshe.....

1. Kibaolojia mwanaume ndio mwenye tamaa kuliko mwanamke sasa unataka nani amtongoze mwenzie? Me au ke?
2. Kiasili mwanaume ana nguvu na ameumbwa kumjali mwanamke unataka. Ukitongozwa si utakuwa wewe ndio mwali.
3. Mwanamke ana nguvu ya ushawishi kuliko mwanaume. Unataka utongozwe na mwanamke si atakuzidi kila kitu?
4. Mwanamke kaumbwa na aibu. Unataka akutongoze si atakumiliki?

Mwisho ila sio kwa umuhimu nimejitahidi kuweka busara ila dogo usipokuwa makini watakufanya vitu vibaya.....
Mwanamke na mwanaume ni voumbe tofauti sana. Usawa sio kuwa sawa. Equity is not equality....
 
Ukiona mwanaume anawazia uzuri wake muda wote, kujipaka poda, mafuta kwenye makalio na mgongo basi ujue GAME OVER!

Tukae kimya kwa dk 1 kuomboleza kupoteza mwenzetu mmoja.
 
"Raha Ya Kutongozwa Unipe Eeh Bwana,,Na Mwanga Wa Mahaba Uniangazie Nitongozwe Kwa Amani.."
###Amen###
 
Ukiona mwanaume anawazia uzuri wake muda wote, kujipaka poda, mafuta kwenye makalio na mgongo basi ujue GAME OVER!

Tukae kimya kwa dk 1 kuomboleza kupoteza mwenzetu mmoja.
mtazamo wa kizamani sana huo hasa kwenye suala la uzuri.
 
Mademu wangekuwa wananitongoza mimi...
Mtaani ningeitwa "maharage ya mbeya"
"Makaveli wa wote" "voda fasta" etc.😂🤣
Mimi nimetongozwa na mademu jumla watano, niliyemkubalia ni mmoja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom