Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Mwambie huyo awambie hao wazee wa NDIYOOOO, wakili na kutubu tufungue ukurasa mpya, siyo kujaribu kuhamishia makosa yao kwa watu wengine. Wakiambiwa akili ndogo wanabisha, sasa MTU mzima unamuona anazunguka weee kutoa maelezo kujaribu kuhamisha makosa, huyo unamuona ni akili ndogo tu.Sio dhambi, ila lazima ukiri kwa kinywa chako makosa yako.