Kiuhalisia Januari Makamba hakuleta maendelo yoyote Bumbuli

Kiuhalisia Januari Makamba hakuleta maendelo yoyote Bumbuli

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
7,376
Reaction score
16,537
Kati ya wabunge walioachwa Januari alipaswa asindikizwe na viboko juu,Bumbuli ni kati ya majimbo yenye maendeleo duni,

Huyu alikuwa busy na makundi mihula yote hata hajui bei ya pampu ya maji huko Bumbuli. Nimeona clip wananchi wa Bumbuli wakishangilia baada ya jamaa kukatwa jina.

Hapa CCM wameona mbali angendelea Bumbuli ingekuwa jehanamu,vumbi,jangwa na njaa .
 
Ana Bajet? Yaani ana Executive power ya ku alocate fund kwenda Jimboni? kwani huko kwingine kuna maendeleo gani?
Elimu ni muhimu sana nchi hii
Mbunge huwa anayafiti fursa za maendeleo jimboni kwake kisha anafanya lobbying. Kama jimboni halina maji na limezungukwa na vyanzo vya maji, mbunge ana jukumu LA kufanya mapendekezo kwa wadau wa maendeleo na serikali walete maji kwa vyanzo vilivyopo
Vitu vingine kama masoko, barabara za changarawe wala hazihitaji fedha nyingi.
Na pia ndio yapo majimbo yenye afadhali ya huduma kuliko mengine.
 
Kati ya wabunge walioachwa Januari alipaswa asindikizwe na viboko juu,Bumbuli ni kati ya majimbo yenye maendeleo duni,huyu alikuwa busy na makundi mihula yote hata hajui bei ya pampu ya maji huko Bumbuli. Nimeona clip wananchi wa Bumbuli wakishangilia baada ya jamaa kukatwa jina.

Hapa CCM wameona mbali angendelea Bumbuli ingekuwa jehanamu,vumbi,jangwa na njaa .
Nilidhani maendeleo huletwa na wananchi kwa CCM huletwa na Rais mbunge ni kiranja
 
Kati ya wabunge walioachwa Januari alipaswa asindikizwe na viboko juu,Bumbuli ni kati ya majimbo yenye maendeleo duni,

Huyu alikuwa busy na makundi mihula yote hata hajui bei ya pampu ya maji huko Bumbuli. Nimeona clip wananchi wa Bumbuli wakishangilia baada ya jamaa kukatwa jina.

Hapa CCM wameona mbali angendelea Bumbuli ingekuwa jehanamu,vumbi,jangwa na njaa .
Sorry wewe ndiwe uliyepo kwenye hiyo picha ya profile?. Kama ni wewe tafadhari sana vua hiyo suti na tai unavitia doa.
 
Kati ya wabunge walioachwa Januari alipaswa asindikizwe na viboko juu,Bumbuli ni kati ya majimbo yenye maendeleo duni,

Huyu alikuwa busy na makundi mihula yote hata hajui bei ya pampu ya maji huko Bumbuli. Nimeona clip wananchi wa Bumbuli wakishangilia baada ya jamaa kukatwa jina.

Hapa CCM wameona mbali angendelea Bumbuli ingekuwa jehanamu,vumbi,jangwa na njaa .
Fedha zote anatoa Samia sasa Makamba angepata wapi?
 
Ana Bajet? Yaani ana Executive power ya ku alocate fund kwenda Jimboni? kwani huko kwingine kuna maendeleo gani?
Elimu ni muhimu sana nchi hii
Kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi bungeni na kuikumbusha serikali kuleta maendeleo,Bajet anapanga nani?bila kusema matatizo ya jimboni kwako unapangiwaje bajeti? Elimu ni muhimi sana nchi hii
 
Kati ya wabunge walioachwa Januari alipaswa asindikizwe na viboko juu,Bumbuli ni kati ya majimbo yenye maendeleo duni,

Huyu alikuwa busy na makundi mihula yote hata hajui bei ya pampu ya maji huko Bumbuli. Nimeona clip wananchi wa Bumbuli wakishangilia baada ya jamaa kukatwa jina.

Hapa CCM wameona mbali angendelea Bumbuli ingekuwa jehanamu,vumbi,jangwa na njaa .

..Mama naye hakumwaga maendeleo Bumbuli?
 
January Makamba nilimchukiaga sana kipindi cha mgao wa umeme hakuwahi kuonyesha kujali, kiufupi hana uwezo wa kiuongozi alikuwa anabebwa tu. Bora walivyomkata jina.
Afadhali hata siku hizi mgawo umepungua,kipindi chake anakuja na vijoja vyake kila mara ,alikuwa waziri wa hovyo kwenye wizara yake
 
Back
Top Bottom