Kiuhalisia hakuna kiu/dhana mapenzi

Kiuhalisia hakuna kiu/dhana mapenzi

Miguel Felix Gallardo

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
2,115
Reaction score
3,811
Kataa ndoa wapo sahihi miaka dahari.Asubuhi ya leo nimeamka na tafakuri kuhusu dhana nzima ya mapenzi na mahusiano.

Katika tafakuri yangu nimeona ya kwamba neno mapenzi lipo kisiasa zaidi lakini hakuna binadamu anaweza kulitenda ipasavyo.

Mwenye kupenda ni Mungu maana Mungu atakupenda kwa utimilifu wako na kwa madhaifu yako bila kukuhukumu.

Mfano mzuri nimechukulia mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanaume na mwanamke.

Watu hawa wawili me na ke wakikutana kwa mara ya kwanza kila mtu atakuwa busy kufanya siasa zake za ulaghai ili kumuingiza kingi mwenzake.Hata hivyo wakati huohuo siasa za mapenzi zikiendelea kila mmoja wao atakuwa busy pia kusoma ni kwa jinsi gani atafaidika na huo muunganiko.

Tuelewane vizuri,make no mistake about it!!!Kila mwanadamu yupo kimslahi zaidi hivyo maslahi yanapokwisha au mtu anapata maslahi zaidi sehemu nyingine hatochelewa kuyavunja au kula kotekote.


Kwa msingi huo,waungwana wanakwambia"THE GAME IS BRUTAL BUT STILL FAIR"(kwa tafsiti ya kimatumbi, anasema mchezo ni wakikatili sana ila bado ni wa haki).

Mfano kijana wa kiume anayejielewa lazima ajue mahusiano haya ntajitoa kiasi gani na malipo yake ni haya.Aidha utalipwa mbususu na uicharaze kwelikweli au upate mwanamke smart asiyeomba hela ili wewe uweze kufanya mambo mengine na kukuza uchumi wako.

Nawasihi vijana wa kiume kukaa kimkakati,acheni kuhusiana na OMBAOMBA,WANAWAKE WASIO NA KAZI,WANAWAKE WANAOTOKEA FAMILIA MASIKINI,WANAWAKE WASIO NA ELIMU.Kundi hili litakufanya uchelewe sana kimaendeleo na kiuchumi.

Uzuri wa wanawake sahivi wapo wengi,,,,Soko limefurika ni wewe tu kijana wa kiume kuchangamkia fursa.Achana na bidhaa LOW QUALITY!!!!

Kwahiyo vijana wakiume ambao wengi bado ni wahanga wanaingia kwenye mahusiano bila hesabu nzuri badilikeni anzeni kuwa wahasibu na wachumi katika mahusiano yenu.Vijana wa kike ama wanawake wako mbele ya muda wao huwa wanajua hasa kwanini anaingia kwenye mahusiano na anakuwa na target au faida zake kisha ziorodhesha.

#USIKUBALI KULAGHAIWA NA SIASA ZA MAPENZI.STUKA WEKA MASLAHI YAKO MBELE.
 
Mungu mueza wa yote , mwenye upendo , halafu dunia imejaa kila aina ya taabu unasema vipi ana upendo?
Ili system ya maisha ibalance lazima kuwepo na hali zote za kimaisha.

Ni mwendawazimu tu atakuwa anaona ni sawa tabu zote za dunia zikaondolewa.Ambapo system ya maisha itacolapse.

Turudi kwenye mada FALSAFA YA MAISHA NA UMUNGU TUTAJADILI SIKU NYINGINE.
 
Ili system ya maisha ibalance lazima kuwepo na hali zote za kimaisha.

Ni mwendawazimu tu atakuwa anaona ni sawa tabu zote za dunia zikaondolewa.Ambapo system ya maisha itacolapse.

Turudi kwenye mada FALSAFA YA MAISHA NA UMUNGU TUTAJADILI SIKU NYINGINE.
Nipo kwenye mada, na mada imegusia Mungu ndio ana upendo wa kweli, kabla ya yoyote nipe sifa za upendo.
 
The Lord had set his standards, one woman one man for one life time. We have fallen short of this and are now blaming him!

Remember even if you've not slept with her but you lust for her you did sleep with her.

Unaweza ukawa hujalala na mtu but truly truly you've slept with hudreds on porn hub! ! You finally come marry your wife / husband unamuona hana maajabu.

Inshort, matatizo yote yamesababishwa na kupindisha standards za mwanzilisha ndoa mwenyewe.
 
The Lord had set his standards, one woman one man for one life time. We have fallen short of this and are now blaming him!

Remember even if you've not slept with her but you lust for her you did sleep with her.

Unaweza ukawa hujalala na mtu but truly truly you've slept with hudreds on porn hub! ! You finally come marry your wife / husband unamuona hana maajabu.

Inshort, matatizo yote yamesababishwa na kupindisha standards za mwanzilisha ndoa mwenyewe.
Wakati standards zinapindishwa huyo mwanzisha ndoa alikua wapi?
 
Haujajibu hoja yangu , alieweka hizo standard alikua wapi mpaka zipindishwe na ni nani ?
You're not a robot.

You have a choice.

You will be accountable for your choices.

Make the choice to Agree with God and choose his side.

Time is running out.
 
Back
Top Bottom