Mkuu Rutashubanyuma asante sana kwa utenzi huu ila tegemea madongo mengi kutoka kwa wahusika
ulipotelea wapi mkuuu na umepona na mabomu ya Arusha
ulipotelea wapi mkuuu na umepona na mabomu ya Arusha
Last edited by a moderator:
Mkuu Rutashubanyuma asante sana kwa utenzi huu ila tegemea madongo mengi kutoka kwa wahusika
ulipotelea wapi mkuuu na umepona na mabomu ya Arusha
"Kunitawala ndiyo hulka yake nami ananikwaza". Hii haina ujanja kwa wanaume. Wanaume walikuwa wanyonge baada ya kurubuniwa na Hawa kule Edeni kwa kula lile Tunda!
Shairi zuri lakini halioneshi uhalisia wa wakati huu
wap ww
Kiu ya mwanamke kupendwa jama....atleast for me
Kiu ya mwanamke kupendwa jama....atleast for me
Ruta mimi ni muhanga wa tukio la Bomu hapa Arusha jumapili! Unaleta mapenzi nichangie kweli badala yakunipa pole?????:mmph:
Hayo maneno utafanya mafirauni waendelee kuhalalisha Kabang, hebu ya-edit ili kuweka mambo sawa.
Jibu la swali kuhusu kiu ya mwanamke ni KUPENDWA.
mmmh sio mfume dume huu?! hasa huo ubeti wa mwisho huo..ingawa imetulia sana.
4) La ajabu ni hii kiu yake ambaye inapingana nami!
Kumtulizia kiu yake lazima nijisalimishe kwake!
Aliumbwa anitumikie sasa ataka kunigeuzia kibao!
Kunitawala ndiyo hulka yake nami ananikwaza
Kiu ya mwanamke waijua wewe?
Hii ni kweli kabisa, wewe ngalia kwenye maisha ya kila siku.
Tuliumbwa tumtumikie Mungu na sio mwanaume!
Nilivyolike, nimelike beti 3 za mwanzo na sio hiyo ya 4.
kipimo cha kukupenda ni pale utakapoona umenitawala! Utasikia ukilalama mbona siku hizi sisikizwi kama zamani?
Napataga shida kuwaelewa hapo kwa red, hivi huwa mnamaanisha nini hasa?
[h=2][/h]
mfume dume ndiyo matakwa ya Muumba na ana sababu zake hata kama hatuzielewi....