KIU YA MWANAMKE:.......waijua wewe?

KIU YA MWANAMKE:.......waijua wewe?

Mkuu Rutashubanyuma asante sana kwa utenzi huu ila tegemea madongo mengi kutoka kwa wahusika
ulipotelea wapi mkuuu na umepona na mabomu ya Arusha
 
Last edited by a moderator:
"Kunitawala ndiyo hulka yake nami ananikwaza". Hii haina ujanja kwa wanaume. Wanaume walikuwa wanyonge baada ya kurubuniwa na Hawa kule Edeni kwa kula lile Tunda!
 
Mkuu Rutashubanyuma asante sana kwa utenzi huu ila tegemea madongo mengi kutoka kwa wahusika
ulipotelea wapi mkuuu na umepona na mabomu ya Arusha

nimeona nitoe utenzi huu wa mahaba kuwajuza nimenusulika.l
 
"Kunitawala ndiyo hulka yake nami ananikwaza". Hii haina ujanja kwa wanaume. Wanaume walikuwa wanyonge baada ya kurubuniwa na Hawa kule Edeni kwa kula lile Tunda!

kwahiyo turidhie kukamatwa pabaya?
 
Kiu ya mwanamke kupendwa jama....atleast for me

kipimo cha kukupenda ni pale utakapoona umenitawala! Utasikia ukilalama mbona siku hizi sisikizwi kama zamani?
 
Ruta mimi ni muhanga wa tukio la Bomu hapa Arusha jumapili! Unaleta mapenzi nichangie kweli badala yakunipa pole?????:mmph:

Ni namna ya kukupooza tu!
 
Hayo maneno utafanya mafirauni waendelee kuhalalisha Kabang, hebu ya-edit ili kuweka mambo sawa.
Jibu la swali kuhusu kiu ya mwanamke ni KUPENDWA.

msitafute visingizio hapo. Lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Aliye hivyo hahitaji nibadilishe chochote kwani ile ndiyo siha yake..........
 
Mkuu nimekuja nduki, umenifanya nipige breki ya kisigino. Acha nirudi nilipokuwa bhana.
 
[h=2][/h]
mmmh sio mfume dume huu?! hasa huo ubeti wa mwisho huo..ingawa imetulia sana.

mfume dume ndiyo matakwa ya Muumba na ana sababu zake hata kama hatuzielewi....
 
Umeunganisha vizuri mkuu...Upo juu :first:
 

4) La ajabu ni hii kiu yake ambaye inapingana nami!
Kumtulizia kiu yake lazima nijisalimishe kwake!
Aliumbwa anitumikie sasa ataka kunigeuzia kibao!
Kunitawala ndiyo hulka yake nami ananikwaza

Kiu ya mwanamke waijua wewe?

Tuliumbwa tumtumikie Mungu na sio mwanaume!
Nilivyolike, nimelike beti 3 za mwanzo na sio hiyo ya 4.
 
Tuliumbwa tumtumikie Mungu na sio mwanaume!
Nilivyolike, nimelike beti 3 za mwanzo na sio hiyo ya 4.

Sijui ni maandiko ya wapi umeyasoma! Mwanamke ni ufahari wa mwanaumme na mwanaumme ni ufahari wa Mwenyezi Mungu. Jisomee 1 Corinthians 11: 7-9

"............since he is the image and glory of God, but a woman is the glory of man. For a man is not from a woman, but a woman from a man. Nor was a man created for the woman but a woman for the man."

Also be aware that being last in this world is the will of God and He will exalt you in due course.

"Comfort yourself with these words."
1 Thessalonians 4: 18
 
kipimo cha kukupenda ni pale utakapoona umenitawala! Utasikia ukilalama mbona siku hizi sisikizwi kama zamani?

jamani kwani nikitoa mawazo yangu ukiyackiliza na kuyafuata kwa manufaa ya maisha yetu ni kukutawala mkuu?
 
Back
Top Bottom