Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 584
Kwa taarifa tu ni kwamba mteule mpya anayekaimu kuingoza NIDA, Andrew Wilson Massawe ni mshirika mwenza wa Charles Kitwanga, Mbunge wa Misungwi na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani.
Katika kampuni ya Infosisy, ambayo iliwahi kufanya kazi na NIDA na kuibua mtafaruku mkubwa wakati Kitwanga akiwa waziri. Kwa sasa anaingia tena mtu ambaye ni mshirika mwenza wake.
Katika kampuni ya Infosisy, ambayo iliwahi kufanya kazi na NIDA na kuibua mtafaruku mkubwa wakati Kitwanga akiwa waziri. Kwa sasa anaingia tena mtu ambaye ni mshirika mwenza wake.