Kituo gani kizuri kwa QT hapa Dar?

master hassan

Member
Feb 26, 2017
58
18
Mimi ni kijana mweye umri wa miaka 21 nilipata bahati ya kufaulu mtihani wa la 7 ila sikuweza kwenda kuripoti shuleni kwa sababu ya usawa ulikaba.

Sasa niko tayari kurudi shule nataka kusoma QT nahitaji unitajie kituo ambacho kinaweza kunisaidia katika masomo na muda wa masomo uwe kuanzia saa 6 mchana na kuendelea. NIKO MBAGALA KONGOWE
 
umri unaruhusu mtafute Ostadh

nenda temeke usalama ulizia kwa ostadh au shamar

au nenda Kibasila primary kuna kituo pia ila nenda kwa ostadh kwanza...ushauri wangu
 
wwuko wap?
kwa mwaka niliosoma mimi somo moja sh 50,000 kwa mwaka na gharama zinaongezeka kadili uvyosoma kuna kununua baadhi ya notes,past papers,mitihani ya kukupima vyote hivyo hulazimishwi ni hiari yako

NOTE: mimi nilirudia mtihani wa form4 kwa QT ada ipo chini ya hapo kwa mwaka 2012
 
Mm ni kijana mweye umri wa miaka 21 nlipata bahati ya kufauru mtihani wa la 7 ila sikuweza kwenda kuripoti shuleni kwa sababu ya usawa ulikaba. sasa niko tayari kurudi shule nataka kusoma QT nahitaji unitajie kituo ambacho kinaweza kunisaidia katika masomo. na muda wa masomo uwe kuanzia saa 6 mchana na kuenderea. NIKO MBAGALA KONGOWE
Aisee mi nakushauri tu pambana na maisha, huko shuleni utajichelewesha tu halafu mwisho wa siku ukaja kukaa benchi na vyeti vyako halafu kina bashite na vyeti feki wanakula mema ya nchi.

Kama kweli unataka shule kijana nenda kasomee fani kwenye vyuo vya ufundi stadi, huko kwingine utajichelewesha halafu utajutia pesa zako.

Kama unataka kusoma kuelimika tu basi andaa bundle lako tu la kila siku kuingia humu jf linatosha utaelimika kuliko bashite.
 
Aisee mi nakushauri tu pambana na maisha, huko shuleni utajichelewesha tu halafu mwisho wa siku ukaja kukaa benchi na vyeti vyako halafu kina bashite na vyeti feki wanakula mema ya nchi.

Kama kweli unataka shule kijana nenda kasomee fani kwenye vyuo vya ufundi stadi, huko kwingine utajichelewesha halafu utajutia pesa zako.

Kama unataka kusoma kuelimika tu basi andaa bundle lako tu la kila siku kuingia humu jf linatosha utaelimika kuliko bashite.
daaaa nikweli mawazo yako ni sahihi


ila bora ufe ukiwa una vyeti kuliko hiv maana maumivu ninayo yasikia kukosa kwenda shuleee achaaa!
apa nilipo nishapiga boda boda nasasa niko kwenye shuhuri za uwakala ilaa nataka nisome nipate ata kazi ya ualimu maana umri ndio unaenda naona mudaa upoo
 
kwa mwaka niliosoma mimi somo moja sh 50,000 kwa mwaka na gharama zinaongezeka kadili uvyosoma kuna kununua baadhi ya notes,past papers,mitihani ya kukupima vyote hivyo hulazimishwi ni hiari yako

NOTE: mimi nilirudia mtihani wa form4 kwa QT ada ipo chini ya hapo kwa mwaka 2012
poaaaaa



ulisomea dsm au wap
kama n dsm ilikua kituo gani
 
Nenda shule amna life bila shule mengine uongo usijali kupoteza muda dunia imebadilika ukiwa na dalasa kichwani (elim) utaweza kuendana na mabadiloko ya dunia na uwezi kuwa bashite ( ila mstue na bashite mwambie twende ujapoteza ukikudi shule utanzibamdomo gwajima )
 
Nenda shule amna life bila shule mengine uongo usijali kupoteza muda dunia imebadilika ukiwa na dalasa kichwani (elim) utaweza kuendana na mabadiloko ya dunia na uwezi kuwa bashite ( ila mstue na bashite mwambie twende ujapoteza ukikudi shule utanzibamdomo gwajima )
nashukuru kwa ushauri wako mwema
 
Aisee mi nakushauri tu pambana na maisha, huko shuleni utajichelewesha tu halafu mwisho wa siku ukaja kukaa benchi na vyeti vyako halafu kina bashite na vyeti feki wanakula mema ya nchi.

Kama kweli unataka shule kijana nenda kasomee fani kwenye vyuo vya ufundi stadi, huko kwingine utajichelewesha halafu utajutia pesa zako.

Kama unataka kusoma kuelimika tu basi andaa bundle lako tu la kila siku kuingia humu jf linatosha utaelimika kuliko bashite.
Sidhani kama utaeleweka kwa wepesi ushauri mzuri ila si rahisi kueleweka.
 
Back
Top Bottom