GE2025 Kituo cha Polisi Tabata Relini chachomwa moto

GE2025 Kituo cha Polisi Tabata Relini chachomwa moto

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
304
Reaction score
543
Wananchi wamepita na kituo cha polisi Tabata Relini, mabomu yanarindima huko hadi maeneo ya Buguruni.

Harakati za kufika Ikulu zinaendelea. Leo polisi wamejua Watanzania sio waoga! Upole haimaanishi mtu hawezi kukurarua.

Mtu anakuwa anakulia timing tu, akichoka utajua ujui. Polisi hawakutegemea hiki kilichofanyika leo.

Harakati zinaendelea.
 
Back
Top Bottom