Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Kuna habari vurugu zimetokea Manzese Tip Top kati ya vijana na polisi wakigombea maiti na inasemekana kituo cha polisi kimechomwa moto.
Tunaomba mlio Manzese mtupe undani wa tukio lenyewe.
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa polisi wanatumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutawanya vijana wenye hasira tuendelee kufahamishana.
Tunaomba mlio Manzese mtupe undani wa tukio lenyewe.
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa polisi wanatumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutawanya vijana wenye hasira tuendelee kufahamishana.