Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa source yangu ni bunduki 16 zilizoporwa.....
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa source yangu ni bunduki 16 zilizoporwa.....

Yaweza kuwa ngoja tusubiri ukweli kamili kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Geita na wenhine wanasema ni bunduki 20.
 
Nashukuru kwa kunihabarishaaa..... ila ni mapema mno kuweka majina ya marehemu,.... kabla ya familia kujulishwa rasmi
 
Laaah hali sio kama majambaz wanavamia mpk kituo cha polisi unategemea sehem kama benk.kwny maduka ya bidhaa ni.kama kumsukuma mlevi tu.nadhan majambaz yanatamba kwa sasa hayana mpinzan.R.I.P askari.wetu
 
Mtu akisema wewe pia ni jambazi atakuwa amekosea? Acha roho ya kinyama ndugu, siku yakiikuta familia yako ndo utaelewa ubaya wa jambo hili. Kifupi amani inatoweka kama jua linavyosogea taratibu mpaka linazama. Hakuna aliye salama. Na ujue sababu mojawapo ya amani ya nchi pamoja na uzalendo ila pia ni udhibiti wa raia kumiliki silaha za moto, sasa ikiwa wanazifuata kwa nguvu silaha hizo, tena mahali penye watu wenye silaha ujue hakuna aliye salama tena. Zikishakuwa nyingi mikononi mwa wahalifu ndio uasi wa nchi unaanza, unakuwa backed na mataifa makubwa basi tena story inakuwa political instability na wanachukua almasi na dhahabu bila shida wakati wenye nchi wanauana tu. Tafakari.

!
!
We umeandika vizuri mno..... kama nikikutana na shetani anapigana na polisi, basi mie ntamsaidia shetani kwa nguvu zangu zote. Yani nawaombea majanga makubwa makubwa yawafikie. Sijui nitumie lugha gani, natamani dunia nzima ijue nisivyowapenda hawa binadamu. Mungu anisamehe,ila nikiona polisi anateseka au hata kuuwawa huwa nafarijika mno.
 
we unadhani wangefanyaje? watu wanasaka maisha hata kwa kuua,ccm imetufikisha hapa tulipo.

una experience ya kulawitiwa wewe bila shaka umezoea hako katabia.
achana na huyo kilaza Mingoi, anajifanya hajui ccm wapiga deal ndiyo wametufikisha hapa!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ubishi serikali iliyomadarakani mfumo wa jeshi la polisi iliyoanzisha sijui polisi jamii ulinzi shirikishi na kuweka vituo vya polisi kama njugu sehem zingine hakuna hta kaz utakutana na kituo cha polisi na siraha juu tena porini kwel hakuna usalama wa siraha zile, ni shiida tupu madhara yake ndo haya, RIP makamanda
 
Ni kweli mkuu.hapo Buombe (shirombo) kuna askari aliwahi kutuhumiwa kushirikiana na majambazi miaka ya 2000 kuja mpaka 2005 tena alikuwamubwa kwenye hicho kituo lakini sasa hi i amepandishwa cheo ni s/o kwenye mkoa mmoja unaopakana na nchi jirani.

Kuna minong'ono imeanza baada ya hilo tukio tusubiri tuone mwishowake.

Mbona hata Kamuhanda alipandishwa cheo?
 
serikali imetekwa imewekwa chini ya ulinzi,na ndo maana tunasema enzi za mwalimu Rpc na jopo lake la wilaya wote wangekuwa Butimba sahv wananyea ndoo
 
Back
Top Bottom