bea ndetura
Member
- Aug 22, 2015
- 51
- 8
Inasikitisha kuona wananchi wanakosa elimu ya uraia! Hivi hao hao raia wakipatwa na tatizo mfano kuibiwa mali wataenda wapi? Kosa Mali lakini usikosa Akili
Mwanamke wa umri wa miaka 21 .Veronica.,ameuawa kwa kukatwa mapanga na mumewe kwa wivu wa kimapenzi. Kituo. cha polisi kimevamiwa. Badala ya polisi kugombana na muuaji,wanagombana na wanakijiji as if yalitokea matatizo baada ya kuku kuibiwa. Sasa watu 11 wapo mbaroni.
Mwanamke wa umri wa miaka 21 .Veronica.,ameuawa kwa kukatwa mapanga na mumewe kwa wivu wa kimapenzi. Kituo. cha polisi kimevamiwa. Badala ya polisi kugombana na muuaji,wanagombana na wanakijiji as if yalitokea matatizo baada ya kuku kuibiwa. Sasa watu 11 wapo mbaroni.
Nahisi kama wachangiaji wengine mmemuelewa vile, ila sijaambulia kitu!
msg nimeituma lakini simu haina pesa. Nitaituma tena baadaye within the half hour.msg.nimeshaituma kwa Makongoro.. Anasema anashukuru kwa kuipata hiyo msg.Andrew Nyerere muambie mdogo wako Makongoro aache kumtukana Lowasa.. Kama ni afya hata Makongoro sio mzima ndio maana anakohoa kila mara..