Habari zenu Ndugu.
naomba ufafanuzi kidogo maana kuna jambo linasababisha kero na foleni kubwa ndani ya kariakoo.
hivi haya madaladala yenye route kama masaki---gerezani kwanini yanaishia kariakoo na hayafiki kabisa gerezani?
je kuna mpango wa kuyahamishia kituo cha gerezani?
kituo hicho kipo tayari?
ikifika jioni ndio wanayalaza kariakoo tena wanafunga na mitaa kabisa. inakuaje wanaachiwa wafanye wanavyotaka?
naombeni ufafanuzi kidogo wana JF maana hali ishakuwa tete mitaa ya huku.
weekend njema.
naomba ufafanuzi kidogo maana kuna jambo linasababisha kero na foleni kubwa ndani ya kariakoo.
hivi haya madaladala yenye route kama masaki---gerezani kwanini yanaishia kariakoo na hayafiki kabisa gerezani?
je kuna mpango wa kuyahamishia kituo cha gerezani?
kituo hicho kipo tayari?
ikifika jioni ndio wanayalaza kariakoo tena wanafunga na mitaa kabisa. inakuaje wanaachiwa wafanye wanavyotaka?
naombeni ufafanuzi kidogo wana JF maana hali ishakuwa tete mitaa ya huku.
weekend njema.