Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,076
Pole Sana...binafsi huwa sipendi kuonewa huruma kabisa ila ndio Kwanza zinanifuata..
Kweli mkuuHuo ndio ukubwa mkuu, angekuwa wako ungevumilia wala usingetwambia,ndo mpende jirani yako kama nafsi yako ndio hii🙄🙄🙄
Wema wapi mpango wake ndo umepelekea hiloWema wako umekuponza. Uache kuwa na huruma za kijinga.
Mi nimewahi tapikiwa 2011 sema nilimsamehe maana alikua mama kijacho, ila harufu haikuisha





poleeeeeh, mie niliyemtapikia pale pale akaomba kwa dereva ashukie pale, then akanipa no yake nimtafute, couz nilikua naenda shule sikua na cm. Bina, mie natapika mnooo hata nikisikia harufu ya dizeli ile ilotumika natapika.Ujanja wote huo unatapika kwenye mabasi? Au ulikuwa unaumwa?
🤣🤣🤣🤣🤣hapa nshanusa harufu ya tapishiiBina, mie natapika mnooo hata nikisikia harufu ya dizeli ile ilotumika natapika.
Nna tabu mnooo, huwa nabeba vifungashio hata 4 km safari ya mbali.
Unapakata mtoto mara mama yake anakubadilikia ulikuwa unataka umlawiti hivyo anaanzisha vurugu anataka umlipe pesaMkuu unatabia ngumu kumbe
Nakushauri nenda haraka kapime u...to japo sikuombei, hawa watoto wa siku hizi si wakuwaamini kwani yale mambo yetu huyaanza mapema.Habari za Usiku Wadau,
Nipo kwenye bus mida hii natokea Dar naelekea Dom pembeni yangu yupo mdada mwenye mtoto mwenye kama miaka mitatu hivi.
Safari inaanza huyu mama nikampa hai hakuitikia kivile mi nikapotezea.
Tumefika maeneo ya kibaigwa huyu mwanae akawa kamlaza kidizaini fulani mtoto nikaona amelala vibaya na anaumia kiuno so nikaamua kutake trouble ya kumuinua na kumlaza kwangu huku akiegemea kwa mama yake na miguu kwangu.
Safari imeenda mara dogo akawa akijipindua pindua ghafla nikaanza kuhisi ubaridi kama maji vile nimemwagiwa kumtoa yalabi nimeloa mkojo mapajani kwenye suruali yaani ghazabu fasta ikanipanda ila nikachili nikamwambia huyu Dada mwanao kanikojolea!
Huyu Dada mwenye mtoto kuona hivyo akaanza kujibalaguza samahani kaka , only that!Akamchua mtoto wake na kumpakata hata hajambadilisha nguo.
Nimeboreka hapa wwe acha tu sema sina cha kufanya na huyo dogo anaonekana mkubwa so sijui kwa nini amenikojolea!
Ugentlemen leo umenitokea puani,Du hatari hapa nanuka kojo tu.Sometimes ndio maana naonaga baadhi ya abiria wanawekaga sula ya mbuzi kwa wamama wenye watoto kumbe huwa wanakimbia issue kama hizi.
Nashauri wamama wanaosafiri na watoto ambao hawana siti wachukue taadhari za usafi ikiwemo kuwavisha Diapers watoto wao ambao bado hawajajitambua na kuwa na zana za usafi kuepuka kero kwa abiria wenzao.
Nashukuru Mungu tunaingia Dom usiku kama ingekuwa mchana kidume sijui aibu ningeficha wapi.
Usiku mwema.
ARTICLE.