Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,802
- 7,936
alafu ukute mama yake hana mvuto, maana angekua na mvuto ana trako ungeomba namba kesho unamtafuta unamkojolea na yeye
Habari za Usiku Wadau,
Nipo kwenye bus mida hii natokea Dar naelekea Dom pembeni yangu yupo mdada mwenye mtoto mwenye kama miaka mitatu hivi.
Safari inaanza huyu mama nikampa hai hakuitikia kivile mi nikapotezea.
Tumefika maeneo ya kibaigwa huyu mwanae akawa kamlaza kidizaini fulani mtoto nikaona amelala vibaya na anaumia kiuno so nikaamua kutake trouble ya kumuinua na kumlaza kwangu huku akiegemea kwa mama yake na miguu kwangu.
Safari imeenda mara dogo akawa akijipindua pindua ghafla nikaanza kuhisi ubaridi kama maji vile nimemwagiwa kumtoa yalabi nimeloa mkojo mapajani kwenye suruali yaani ghazabu fasta ikanipanda ila nikachili nikamwambia huyu Dada mwanao kanikojolea!
Huyu Dada mwenye mtoto kuona hivyo akaanza kujibalaguza samahani kaka , only that!Akamchua mtoto wake na kumpakata hata hajambadilisha nguo.
Nimeboreka hapa wwe acha tu sema sina cha kufanya na huyo dogo anaonekana mkubwa so sijui kwa nini amenikojolea!
Ugentlemen leo umenitokea puani,Du hatari hapa nanuka kojo tu.Sometimes ndio maana naonaga baadhi ya abiria wanawekaga sula ya mbuzi kwa wamama wenye watoto kumbe huwa wanakimbia issue kama hizi.
Nashauri wamama wanaosafiri na watoto ambao hawana siti wachukue taadhari za usafi ikiwemo kuwavisha Diapers watoto wao ambao bado hawajajitambua na kuwa na zana za usafi kuepuka kero kwa abiria wenzao.
Nashukuru Mungu tunaingia Dom usiku kama ingekuwa mchana kidume sijui aibu ningeficha wapi.
Usiku mwema.
ARTICLE.
Ni mtoto tu huyo. Msamehe.Habari za Usiku Wadau,
Nipo kwenye bus mida hii natokea Dar naelekea Dom pembeni yangu yupo mdada mwenye mtoto mwenye kama miaka mitatu hivi.
Safari inaanza huyu mama nikampa hai hakuitikia kivile mi nikapotezea.
Tumefika maeneo ya kibaigwa huyu mwanae akawa kamlaza kidizaini fulani mtoto nikaona amelala vibaya na anaumia kiuno so nikaamua kutake trouble ya kumuinua na kumlaza kwangu huku akiegemea kwa mama yake na miguu kwangu.
Safari imeenda mara dogo akawa akijipindua pindua ghafla nikaanza kuhisi ubaridi kama maji vile nimemwagiwa kumtoa yalabi nimeloa mkojo mapajani kwenye suruali yaani ghazabu fasta ikanipanda ila nikachili nikamwambia huyu Dada mwanao kanikojolea!
Huyu Dada mwenye mtoto kuona hivyo akaanza kujibalaguza samahani kaka , only that!Akamchua mtoto wake na kumpakata hata hajambadilisha nguo.
Nimeboreka hapa wwe acha tu sema sina cha kufanya na huyo dogo anaonekana mkubwa so sijui kwa nini amenikojolea!
Ugentlemen leo umenitokea puani,Du hatari hapa nanuka kojo tu.Sometimes ndio maana naonaga baadhi ya abiria wanawekaga sula ya mbuzi kwa wamama wenye watoto kumbe huwa wanakimbia issue kama hizi.
Nashauri wamama wanaosafiri na watoto ambao hawana siti wachukue taadhari za usafi ikiwemo kuwavisha Diapers watoto wao ambao bado hawajajitambua na kuwa na zana za usafi kuepuka kero kwa abiria wenzao.
Nashukuru Mungu tunaingia Dom usiku kama ingekuwa mchana kidume sijui aibu ningeficha wapi.
Usiku mwema.
ARTICLE.
Ofcourse ni kosa langu but hata ungekuwa wewe kama una huruma na upendo usingeweza kumuacha mtoto katika hali ile wakati unaweza saidia.Mimi najiuliza kwa sauti, hivi huyo mama ana kosa gani kwenye haya yote?
1. We ndo ulimshobokea kumsalimia yeye akavunga
2. Ye alibeba mtoto wewe ndo ukakimbilia kumueka sawa na kuelekezea kengele ya mtoto upande wako.
Hivyo bas, yaeza kua hakumvisha mwanae pampers, but its your fault kuhangaika na mambo ya watu wengine.
Pole though, ukishuka shabiby, fasta rudi kama unaenda cbe hapo kwenye ofisi za allys znaangaliana na car wash. Piga maji then enjoy the city.
Mmmmh mtu akaliwa kimasiharaPoleeeeeh sanaaaa, nilimtapikia mtu, nashukuru akaja kua mtu wa maana na muhimu kwangu.
Habari za Usiku Wadau,
Nipo kwenye bus mida hii natokea Dar naelekea Dom pembeni yangu yupo mdada mwenye mtoto mwenye kama miaka mitatu hivi.
Safari inaanza huyu mama nikampa hai hakuitikia kivile mi nikapotezea.
Tumefika maeneo ya kibaigwa huyu mwanae akawa kamlaza kidizaini fulani mtoto nikaona amelala vibaya na anaumia kiuno so nikaamua kutake trouble ya kumuinua na kumlaza kwangu huku akiegemea kwa mama yake na miguu kwangu.
Safari imeenda mara dogo akawa akijipindua pindua ghafla nikaanza kuhisi ubaridi kama maji vile nimemwagiwa kumtoa yalabi nimeloa mkojo mapajani kwenye suruali yaani ghazabu fasta ikanipanda ila nikachili nikamwambia huyu Dada mwanao kanikojolea!
Huyu Dada mwenye mtoto kuona hivyo akaanza kujibalaguza samahani kaka , only that!Akamchua mtoto wake na kumpakata hata hajambadilisha nguo.
Nimeboreka hapa wwe acha tu sema sina cha kufanya na huyo dogo anaonekana mkubwa so sijui kwa nini amenikojolea!
Ugentlemen leo umenitokea puani,Du hatari hapa nanuka kojo tu.Sometimes ndio maana naonaga baadhi ya abiria wanawekaga sula ya mbuzi kwa wamama wenye watoto kumbe huwa wanakimbia issue kama hizi.
Nashauri wamama wanaosafiri na watoto ambao hawana siti wachukue taadhari za usafi ikiwemo kuwavisha Diapers watoto wao ambao bado hawajajitambua na kuwa na zana za usafi kuepuka kero kwa abiria wenzao.
Nashukuru Mungu tunaingia Dom usiku kama ingekuwa mchana kidume sijui aibu ningeficha wapi.
Usiku mwema.
ARTICLE.
Your intentions are pure. Thats wassup.Ofcourse ni kosa langu but hata ungekuwa wewe kama una huruma na upendo usingeweza kumuacha mtoto katika hali ile wakati unaweza saidia.
Mi nimewahi tapikiwa 2011 sema nilimsamehe maana alikua mama kijacho, ila harufu haikuishaPoleeeeeh sanaaaa, nilimtapikia mtu, nashukuru akaja kua mtu wa maana na muhimu kwangu.
Aisee!! 😂😂😂Wanaume wa Dar mnakwama wapi nyie, nini hiki chalii.
Habari za Usiku Wadau,
Nipo kwenye bus mida hii natokea Dar naelekea Dom pembeni yangu yupo mdada mwenye mtoto mwenye kama miaka mitatu hivi.
Safari inaanza huyu mama nikampa hai hakuitikia kivile mi nikapotezea.
Tumefika maeneo ya kibaigwa huyu mwanae akawa kamlaza kidizaini fulani mtoto nikaona amelala vibaya na anaumia kiuno so nikaamua kutake trouble ya kumuinua na kumlaza kwangu huku akiegemea kwa mama yake na miguu kwangu.
Safari imeenda mara dogo akawa akijipindua pindua ghafla nikaanza kuhisi ubaridi kama maji vile nimemwagiwa kumtoa yalabi nimeloa mkojo mapajani kwenye suruali yaani ghazabu fasta ikanipanda ila nikachili nikamwambia huyu Dada mwanao kanikojolea!
Huyu Dada mwenye mtoto kuona hivyo akaanza kujibalaguza samahani kaka , only that!Akamchua mtoto wake na kumpakata hata hajambadilisha nguo.
Nimeboreka hapa wwe acha tu sema sina cha kufanya na huyo dogo anaonekana mkubwa so sijui kwa nini amenikojolea!
Ugentlemen leo umenitokea puani,Du hatari hapa nanuka kojo tu.Sometimes ndio maana naonaga baadhi ya abiria wanawekaga sula ya mbuzi kwa wamama wenye watoto kumbe huwa wanakimbia issue kama hizi.
Nashauri wamama wanaosafiri na watoto ambao hawana siti wachukue taadhari za usafi ikiwemo kuwavisha Diapers watoto wao ambao bado hawajajitambua na kuwa na zana za usafi kuepuka kero kwa abiria wenzao.
Nashukuru Mungu tunaingia Dom usiku kama ingekuwa mchana kidume sijui aibu ningeficha wapi.
Usiku mwema.
ARTICLE.
Ujanja wote huo unatapika kwenye mabasi? Au ulikuwa unaumwa?Poleeeeeh sanaaaa, nilimtapikia mtu, nashukuru akaja kua mtu wa maana na muhimu kwangu.
Mkuu unatabia ngumu kumbeMambo ya kujitia msamalia mwema yatakutokea puani
Mimi sisaidii mtoto kwenye basi apambane na mama yake