kituko cha Waziri mkuu PINDA

Dr Ulimboka kan`golewa meno kwa plier au koleo,kan`golewa kucha,kavunjwa mbavu inasemekana pia kalawitiwa!inasikitisha sana kwa nchi yangu ya Tanzania kwa vitendo vya kinyama kama hivi!wanadamu tumefikia kiwango cha juu kabisa cha ouvu,kwa matendo aliyofanyiwa Dr Ulimboka kwa kweli huwezi kuipenda tena serikali na hasa viongozi wetu ambao kila mtu anawatuhumu! sikuwahi kutegemea kama nchi yangu hii itafikia viongozi wataweza kuruhusu unyama kama huu kwa binadamu wenzao!Madaktari wanao mtibu hawatuambii ukweli wa yote aliyofanyiwa wanaficha tu! lakini huwezi amini unyama huu! Dr wamemuaharibia maisha yake akiwa bado kijana mdogo huku wao wakiishi maisha ya anasa na watoto wao! Huyo Msangi ndiyo nani jamani? hana watoto? mtoto wake akifanyiwa hivyo atajisikiaje? hivi ni binadamu wa kawaida kweli huyo?
 
mi nashangaa pinda bado hajaachia ngazi, its obvious kwamba kazi ameishindwa au yuko kwenye mazingira ambayo hawezi kutekeleza maamuzi yake, if i were him i would resign. Pinda naamini ni mcha Mungu, kweli Mheshimiwa kwanini unafanya kazi kwenye serikali ya kimafia? hivi kweli akiwa anasali usiku anamuambiaje Mungu? Ningekua ni wewe mheshimiwa ningeachia ngazi.
 
Nchi yetu ni mang'ana na viongozi wake ni mang'ana kabisa...
Kuna mtu hapa jamvini alileta tetesi eti madaktari watafukuzwa kutoka katika ajira zao na serikali...
Binafsi nilimpinga mleta mada na nikaeleza bayana kuwa jambo hilo ni ndoto kwa kuwa limeshafikishwa kwenye mamlaka nyingine ambayo bunge na waziri mkuu hawana mamlaka nayo...
Hivyo basi suala la Waziri Mkuu kusema atatoa tamko la serikali ni udhihirisho wa ama:
1.Ama hajui alilokuwa akitamka
2.Alikua anafunika tu kombe ili hoja ya msingi ipite akijua fika baadae atakuja kujitetea kuwa ishu ipo mahakamani.

Sasa yote hayo mawili inaonesha UDHAIFU wa serikali ya Tanzania na taasisi zake za Uwaziri mkuu na Urais
 
Yaani huyo PM ni mbumbumbu namba wani, yeye kila kitu anachokifanya kinakuwa na negative response tu. Mwaka jana alienda Udom akadanganya wanafunzi kuwa wataenda field lakini muda ulipowadia wakaambiwa hakuna field na mwisho wake wanafunzi wakatimuliwa.

Mwanzoni mwa mwaka huu napo aliwaambia madaktari kuwa wataajiri madokta wa kigeni hivyo akashindwa kumaliza mgomo wa madaktari mpaka pale dhaifu mwenzake alipoingilia kati kwa kunywa juisi na madaktari, mara aseme hajui kwa nini watanzania ni maskini. Sijui hata kama huyu jamaa alistahili hata kuwa msafisha vyoo sembuse uwaziri mkuu.

Wamempa mzigo mzito sana, ana akili finyu afadhali hata ya akili ya mtoto mchanga kuliko akili yake ya liwalo na liwe pamoja na kulia bungeni.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
mimi sichangii mpaka msitu wa pande ufyekwe.

Mkuu punguza hasira basi ile ni maliasili yetu sote, hawa jamaa wanatumia msitu mwingine upo kibaha na hata baharini, je ifyekwe yote na bahari ikaushwe? Labda unambie tufyeke hawa vichwa maji wa magogoni!
 
habari wana jamii

naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

naomba kuwasilisha

Kila siku tunasema kuwa PINDA AMEPINDA. Tindu lisu jana alimwambia " DON'T YOU SEE THAT IT IS FOR YOU TO RESIGN" Akaksirika
 
Yaani huyo PM ni mbumbumbu namba wani, yeye kila kitu anachokifanya kinakuwa na negative response tu. Mwaka jana alienda Udom akadanganya wanafunzi kuwa wataenda field lakini muda ulipowadia wakaambiwa hakuna field na mwisho wake wanafunzi wakatimuliwa. Mwanzoni mwa mwaka huu napo aliwaambia madaktari kuwa wataajiri madokta wa kigeni hivyo akashindwa kumaliza mgomo wa madaktari mpaka pale dhaifu mwenzake alipoingilia kati kwa kunywa juisi na madaktari, mara aseme hajui kwa nini watanzania ni maskini. Sijui hata kama huyu jamaa alistahili hata kuwa msafisha vyoo sembuse uwaziri mkuu. Wamempa mzigo mzito sana, ana akili finyu afadhali hata ya akili ya mtoto mchanga kuliko akili yake ya liwalo na liwe pamoja na kulia bungeni.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Baada ya mgomo wa madaktari uliopita (Sio huu) Pinda aliapa hautorudia tena. Naukumbuka ule msemo usemao a lie must have memory!
 
Ccm wamekosa watu makini wakufanya haya mambo, kama walitaka kumuua ulimboka dr kwa maslai ya nchi kwanini wafanye kijinga hv! C bora wangemkamata na kumficha sehemu na siku akitoka huko wampoteza kumbulumbu zote? Wajinga gn wapo huko na nyerere alipata wapi wasaidizi wake!? Jk kama vp badili watu wako wa karibu wapo very low sana!

Wewe unajua eeh?
Wait your turn!
 
Ni vizuri tukajadili hoja badala ya kumjadili mtu. Kumjua mtu sio vibaya lakini anajenga hoja gani? Hoja hii anayojenga inatupeleka wapi? Na wewe mwenye hoja tofauti na ya WM unatoa hoja gani mbadala inayosaidia kutatua tatizo letu la mgomo wa Madaktari ili hatimaye watu watibiwe hali ya maisha irejee kama kawaida. Haya ndiyo mambo ya msingi ambayo jamii inayataka kuyasikia kwa sasa.Swala la udhaifu, uoga na sifa lukuki za mtu kwa sasa haliwezi kuwa sehemu ya kutatua tatizo tulilonalo kwa sasa.
Mimi binafsi napendekeza Madaktari warudi kazini huku mazungumzo ya kuboresha maslahi yao pamoja na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba yakiendelea. Matumizi ya matibabu ya nje kwa wanasiasa yasitishwe ikiwa ni sehemu ya kuonyesha umakini (seriousness) ya serikali kwa madai ya madaktari. Serikali igharamie matibabu na itoe fidia kwa Dr. Uli ili kuonyesha ushirikiano na jumuia ya madaktari kwakuwa Daktari ameumia katika ya mgogoro baina ya jumuia ya madaktari na serikali. Hata kama serikali haihusiki na kuumizwa kwake lakini hata watu walifanya tukio hili wamepata mwanya huu kutokana na mgogoro ambao serikali imeshindwa kuumaliza kwa muda mrefu. Sio serikali tu iliyo na mgogoro na madaktari,lakini pia kuna watu wamepoteza vyeo vyao kutokana na mgogoro huu ambao kiongozi ni Dr. Uli. Kuna watu wamepoteza maisha katika kipindi hiki cha mgomo, wote hawa wanaweza kudhanani chanzo ni Dr. Uli, lakini jalala ni Serikali.
Serikali inawabeba wote huu. Maandiko matakatifu yanasema tafuteni kuwa na AMANI na watu wote. Usipokuwa na AMANI hata na mtu mmoja jambo lolote baya likitokea lazima utahisiwa wewe.
 
habari wana jamii

naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

naomba kuwasilisha
Huyu kitaaluma ni mwanasheria, haiwezekani kesho yake aje kusema hataongelea kitu iliyo mahakamani. Labda wakati anasema liwalo na liwe alikuwa hajajua kuwa mpango wao wa kumuua Dr Ulimboka umetibuka.
 
Hakika Pinda amepinda,ni dhaifu,legelege,hana maamuzi,mnafiki,muongo,na mbaya zaidi hata aliokuwa nao huko Nyinyiemu nao ni wale wale tu,piga picha wasira a.k.a Nyara,nawengineo.kimsingi the wholly system is drastically rotten.
 
Serikali ya ccm wanajenga mnara wa Babel sasa wamefikia pale....huyu akisema lete nyundo anapewa chepeo.... safari yao inaelekea mwisho 2015 na hapo itategemeana na Kudra za mwenyezi Mungu wanaweza wasifike
 
Back
Top Bottom