Kituko cha Paje Zenji. Dua ya kumvimbisha mtu tumbo

Kituko cha Paje Zenji. Dua ya kumvimbisha mtu tumbo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,973
Reaction score
831,534
Kwa karne hii kweli kwenye hadhira rasmi viongozi wanaruhusu huu ujinga?
Ni hofu?
Ni woga?
Ni matisho?
Ni mkwara ama ninini?

Wazee wa Paje wamejitokeza hadharani na kuchimba mkwara kwa yeyote anayekusudia kumdhuru mama na viongozi wengine. Wamejiapiza kumvimbisha mtu tumbo na kumtia chura ya tumbo

Kumbe uchawi bado una nafasi kubwa kwenye serikali zetu na bado viongozi wetu wanaamini ulinzi na malipizi ya kishirikina.

Sijui intelijensia ilikuwa wapi mpaka ikaruhusu haya yatokee

Screenshots_2023-09-01-19-25-33.jpg



 
Nakumbuka wakati Fulani pale Jangwani UKAWA walikuwa wanafunga kampeni zao za uchaguzi mkuu, Dua ikaombwa atayeiba Kura za uchaguzi mkuu afe....🤣🤣

Tuwe Makini with what we spell....mdomo huumba, the Universe listens...
 
Zanzibar hawana mikwaraa kwenye hayo mambo hiyo ni shart za Dua za namna hiyo kuiweka wazi, kama unataka kupima upepo sawa
Watu wema hawadhuriwi na vitu kama hivyo... Watu wema hawatafuti backup za nguvu za giza
Watu wema hawaogopi majaribu
Watu wema hawatishwi na maadui kwakuwa wema wao huwajengea ulinzi imara kiroho!

Mikwara ya namna hiyo mbele ya kadamnasi kisha baada ya hapo unaenda nyumba ya ibada kuomba toba ni kuchanganya mamlaka mbili kwenye mwili mmoja

Kuna mtu aliitisha kwa kodi za wanyonge manabii na mitume 400 wamuombee kisha akaitisha wachawi 400 wamzindike! Kilichotokea kinajulikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom