kituko cha askari moroko mataa

Yaani uanenda mbele hatua tano then unarudi nyuma hatua 13,,,,,,,pangilia maneno khaaa utafikri movie ya kibongo tena ya kichawi
 
Wakuu acheni kuumiza kichwa, kuijadili thread ya mhamiaji haramu ni kujipotezea muda!
 
Kituko cha askari hapo kiko wapi...
kuvua kofia na kuiacha kwenye gari la mtu asiye mfahamu ni sawa na kuacha silaha, pingu nk. labda ikutokee wewe umepaki gari (kama unalo) halafu ukakuta kofia ya polisi juuvya gari lako (narudia tena kama unalo) wakati wakuondoka, ukaichukua na kumuulizia mwenyewe wakaja askari wakakupiga kisha wakakuweka lock up.
 
Sijaelewa unataka tujadili kitu gani hapo?au ulikuwa una maanisha kitu gani?
 
Dah...mkuu rudi shule kidogo ukamalize hata darasa LA saba
 
Kosa lake hapo ni kuwarekodi video ya nn? Yy asingeingia na kofia ndani ya gari, angeichukua na kuwauliza ni ya nani? Unaona sasa kalazwa jela bila sababu na kutoka ni mpaka hela, duuu kayataka mwenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…