TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Ni kituko kwa kuwa tume ya uchaguzi iliteuliwa na mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Mkurugenzi wa wilaya ambaye kimsingi ndiye msimamizi wa uchaguzi ngazi ya wilaya ameteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa.
Watendaji wote wa kata wapo chini ya serikali ya CCM.
Sasa wapinzani wameibaje kura? Kwanini tusiamini kuwa mmelewa?
Mkurugenzi wa wilaya ambaye kimsingi ndiye msimamizi wa uchaguzi ngazi ya wilaya ameteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa.
Watendaji wote wa kata wapo chini ya serikali ya CCM.
Sasa wapinzani wameibaje kura? Kwanini tusiamini kuwa mmelewa?