Kitu Perfume. . . .

mi bebii yangu nikipuliza YU yangu tu...lazima tuchelewe job....just imagine....

Haya mamie Pretta, hiyo YU yakike au kiume? Cjaelewa! C imeandikwa kimtindo flani kwa rangi nyeusi?
 
There is so much power in Perfume jamani, kuna moja nikiisikia barabarani naanza kumtafuta aliyepaka, japo nimtambue afu nione kama anafanana nayo.

Dah, pafyumu ina nguvu sana.

Niambie jina lake, inawezekana ndo najipaka
 
ukweli perfume inaleta intimacy ya aina yake! binafsi nimeprove hilo,thanks for sharing

Welcome, nadhani we mwanamama! Ukijipulizia kabla ya kulala mzee anajua mwenyewe what next!
 
Mwanzoni mwa 2000 nikiwa uwanja wa ndege wa DSM nashangaa shangaa kwenye yale maduka ya kwetu yanauza viyu kwa USD mie mimacho kwenye perfumes akaja mdada mmoja akaniambia please chukua LOLITA LEMPIKA mie nikiisikia hiyo.... alinifanya niinunue
 
Haya mamie Pretta, hiyo YU yakike au kiume? Cjaelewa! C imeandikwa kimtindo flani kwa rangi nyeusi?

YU ni unisex......ya hiyo hiyo....na Yolanda mkebe wake unafanana na ladybird.....
 
Ni kweli.mume wangu huwa anapaka perfume flan nkiiskia tu basi namtani sana akiwa hayupo huwa napakaa mimi basi napata hisia kama yupo na mimi.

Na siku utakayokutana na mtu anaetumia perfume hiyo vipi matamanio yako yatakuwa?
 
Back
Top Bottom