Kitu kilichowashinda Mkapa na Magufuli lakini kimewezwa na Kikwete na Rais Samia ni " Kukaa meza moja na Mpinzani wa Kweli na Kujadiliana"

Kosa la Kikwete ni kwamba hakuandaa mtu thabiti wa kugombea urais. Na mtu anaeandaliwa ni vyema asijijue kama Kamati juu Ina ajenda nae. Mfano mzuri ni Mkapa alikuwa ameandaliwa kwa mrefu(i.e alikuwa anamuandalia mwalimu hotuba na alikuwa anaiwakilisha nchi yetu kama waziri wa mambo ya nje vizuri Sana. Mpaka mwalimu alimuita Mr Clean. Japo kwa kiasi chake alibadilika alipopata Urais) lakini alikuwa hajui kama atakuwa chaguo la Kamati kuu. JPM alibahatika kutokana na kukosekana mtu thabiti wa kugombea. Lowassa alikuwa anakubalika na wengi lakini sio kamati kuu na Membe hakuandaliwa vizuri (i.e uwekezaji haukufayika wa kutosha kwake).
Kipindi cha JK gap la walionacho na wasiokuwa nacho lilikuwa kubwa sana na walionacho walikua wanafuja tu mali za uma.

Chama kilipoteza ushawishi kutokana na vitendo vya wazi kabisa Vya kifisadi vilivyokuwa vinafanyika na hakuna aliyekemea.

Maisha yalikua magumu na maskini ambao walikua wengi walizidi kuwa mafukara huku matajiri wachache wakiendelea kuwa matajiri wa kutupwa.

Magu alijitahidi kulevel mambo ila hakumaliza kazi.

Kama kusingekuja aina ya leadership ya Magu, sasa hivi tungekuwa katika civil war.

Maana mateso ya watu wa chini kama yangeendelea kwa miaka mitano zaidi toka JK tungeshuhudia the first civil unrest in Tanzania.

Na vita ingekua baina ya Maskini na matajiri.

Ungeona tu masikini wakivamia nyumba za matajiri kuzichoma, kuwadhuru na kujitwalia mali.

Ila sasa hao wanaojiita wenye chama hawajui tu kuwa wanaturudisha into the same same situation tuliyokuwa 6 years ago.

And i am telling you kama hawataacha huu ujinga wao we are heading into a disaster.
 
Hivi kuna kipindi wapinzani walikua wanapigwa na kuuliwa kama kipindi cha jk au mnajisahaulisha tu
 
Nilichojifunza ni kwamba mswahili ni kiongozi mwenye utu kuliko wale wa kule

Samahani sio ukabila ni halisi
Ni ngumu kumeza, ila kuna ka ukweli kako ndani ili ukaelewe inabidi usitumie vilevi vikali au kujihusisha na mambo mabaya ya Dunia.
 
Kipindi cha JK gap la walionacho na wasiokuwa nacho lilikuwa kubwa sana na walionacho walikua wanafuja tu mali za uma.

Chama kilipoteza ushawishi kutokana na vitendo vya wazi kabisa Vya kifisadi vilivyokuwa vinafanyika na hakuna aliyekemea.

Maisha yalikua magumu na maskini ambao walikua wengi walizidi kuwa mafukara huku matajiri wachache wakiendelea kuwa matajiri wa kutupwa.

Magu alijitahidi kulevel mambo ila hakumaliza kazi.

Kama kusingekuja aina ya leadership ya Magu, sasa hivi tungekuwa katika civil war.

Maana mateso ya watu wa chini kama yangeendelea kwa miaka mitano zaidi toka JK tungeshuhudia the first civil unrest in Tanzania.

Na vita ingekua baina ya Maskini na matajiri.

Ungeona tu masikini wakivamia nyumba za matajiri kuzichoma, kuwadhuru na kujitwalia mali.

Ila sasa hao wanaojiita wenye chama hawajui tu kuwa wanaturudisha into the same same situation tuliyokuwa 6 years ago.

And i am telling you kama hawataacha huu ujinga wao we are heading into a disaster.
Watu wa chini,mafukara na maskini wengi walitaabika Sana kipindi cha JPM. Wakulima waliuza mazao kwa bei ya chini sana kwa kukosa soko la nje,wafanyakazi hasa wa serikali kwa miaka saba sasa mshahara ni ule ule,wavuvi wametozwa faini na vifungo, wafugaji wamenadiwa sana ng'ombe zao baada ya kukamatwa.

Faraja pekee waliyopata wale waliokata tamaa na maisha na wavivu ni kuona matajiri wananyanyaswa na watumishi wanatumbuliwa.
 
Mshamba wewe. Kwa taarifa yako kipindi cha JK wananchi tulikua tumejaa mapesa mifukoni. Nyie kwa ushamba wenu wa kolomoje mkasema matajiri wataishi kama mashetani. Msijue tajiri akipata tabu hata masikini ndo atazidi sana kuwa hohehahe.

Legase hailindiki nyie washamba
Wezi mnafahamika mbona lazima mchukie kunyimwa fursa za kuiba.

Na jamaa aliwabana kweli kweli.

Alifanikiwa kwa hilo.

Alivyofariki mkafanya sherehe hilo tunalijua.
 
Watu wa chini,mafukara na maskini wengi walitaabika Sana kipindi cha JPM. Wakulima waliuza mazao kwa bei ya chini sana kwa kukosa soko la nje,wafanyakazi hasa wa serikali kwa miaka saba sasa mshahara ni ule ule,wavuvi wametozwa faini na vifungo, wafugaji wamenadiwa sana ng'ombe zao baada ya kukamatwa.

Faraja pekee waliyopata wale waliokata tamaa na maisha na wavivu ni kuona matajiri wananyanyaswa na watumishi wanatumbuliwa.
Kipindi cha JPM kulikua hakuna tofauti kati ya tajiri na maskini wote tulikuwa sawa mbele ya sheria.

Wezi wa fedha za wananchi waliipata fresh yake.

Hakukuwa na yale madili ya kubeba tena kwenye mifuko hela za watanzania.

Jamaa aliwakatia mirija yenu.
 
Nati za anayekuchapa wewe 'chapwa' ndo zimelegea pimbimaji mdogo wewe. Halafu unajiitaga mlokole kengemaji mkubwa
bwasheee walokole hawapo cdm tu, hata ccm wapo. kwenye mambo ya siasa tutataniana na kubwatukiana kama kawaida, atakayeshida poa anachukua nchi, atakayeshindwa ndio ataendelea kulalamika kama ninyi. hii ni siasa bro.
 
Mjinga wewe. Kwasababu unakula na kulala kwa shemejiako basi huwezi kugundua madhara msssssenge putin ameshaleta hadi sasa hivi. Muulize mume wa dadako akitoka kazini mafuta yanauzwaje sasa hivi. Pimbi mdogo
Sio kwa shemeji nakula kwako..
Kichwa panziii!!!!

castro.jpeg
 
Hayati Mkapa na Magufuli waliamini katika kutumia nguvu kukabiliana na wapinzani wa kweli kwa wakati husika ndio utaona Mkapa hakuwahi kukaa na CUF bali aliwatwanga wakakimbilia Shimoni Mombasa.

Magufuli hakuwahi kukaa na Chadema bali aliwabomoa kwa kuchukua wabunge wake na viongozi muhimu kama Dr Slaa Lowassa na Sumaye.

Lakini mstaafu Kikwete aliwaalika Ikulu kwa mazungumzo viongozi wa Chadema wakati kikiwa chama kikuu cha upinzani.

Kadhalika Rais Samia ameweza kuzungumza na viongozi wakuu wa upinzani hapa Tanzania kwa sasa ambao ni mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe na makamu wake mh Tundu Lisu.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!


Mafundisho ya dini na malezi ya mtu constitute greatly on this issue, Mkapa na Magufuli hawakufundishwa Suluhu.
 
Hayati Mkapa na Magufuli waliamini katika kutumia nguvu kukabiliana na wapinzani wa kweli kwa wakati husika ndio utaona Mkapa hakuwahi kukaa na CUF bali aliwatwanga wakakimbilia Shimoni Mombasa.

Magufuli hakuwahi kukaa na Chadema bali aliwabomoa kwa kuchukua wabunge wake na viongozi muhimu kama Dr Slaa Lowassa na Sumaye.

Lakini mstaafu Kikwete aliwaalika Ikulu kwa mazungumzo viongozi wa Chadema wakati kikiwa chama kikuu cha upinzani.

Kadhalika Rais Samia ameweza kuzungumza na viongozi wakuu wa upinzani hapa Tanzania kwa sasa ambao ni mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe na makamu wake mh Tundu Lisu.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Ukicheleweshewa posho huwa unashuka madini sn
 
Yaani ilifikia mahali tunatengana kwenye misiba kwamba kafa CCM hainihusu au kafa mpinzani hainihusu! Loo, hii hali haikuleta afya katika Taifa. Mwanzo Rais Samia alioonyesha kuliponya Taifa lakini chawa walioko CCM wakambadili mawazo, nashukuru kwa Sasa Rais Samia Yuko kwenye uhalisia wa tabia yake ya utu wa kuliponya Taifa, wale chawa wa CCM waendelee kununa Cha muhimu sisi Kama Taifa tuwe wamoja.
Majangili ya CCM hayataki umoja
 
Back
Top Bottom