johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
Hayati Mkapa na Magufuli waliamini katika kutumia nguvu kukabiliana na wapinzani wa kweli kwa wakati husika ndio utaona Mkapa hakuwahi kukaa na CUF bali aliwatwanga wakakimbilia Shimoni Mombasa.
Magufuli hakuwahi kukaa na Chadema bali aliwabomoa kwa kuchukua wabunge wake na viongozi muhimu kama Dr Slaa Lowassa na Sumaye.
Lakini mstaafu Kikwete aliwaalika Ikulu kwa mazungumzo viongozi wa Chadema wakati kikiwa chama kikuu cha upinzani.
Kadhalika Rais Samia ameweza kuzungumza na viongozi wakuu wa upinzani hapa Tanzania kwa sasa ambao ni mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe na makamu wake mh Tundu Lisu.
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Magufuli hakuwahi kukaa na Chadema bali aliwabomoa kwa kuchukua wabunge wake na viongozi muhimu kama Dr Slaa Lowassa na Sumaye.
Lakini mstaafu Kikwete aliwaalika Ikulu kwa mazungumzo viongozi wa Chadema wakati kikiwa chama kikuu cha upinzani.
Kadhalika Rais Samia ameweza kuzungumza na viongozi wakuu wa upinzani hapa Tanzania kwa sasa ambao ni mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe na makamu wake mh Tundu Lisu.
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!