Centia2
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,018
- 1,621
Kuna mkuu mmoja aliwahi kuleta uzi wa kwamba ukipewa uwezo wa kubuni kifaa kipya utabuni nini?
Kutokana na utata mwingi ambao huisumbua jamii juu ya kubaini ukweli wa jambo au wa mtu hasa mahakamani.
Hivi kweli mzungu/Mchina na akili (maana tunaamini hivyo) yake yote kweli ameshindwa kupata kifaa hicho!
Yaani kiwe kinawekwa kifuani au kwenye ubongo au popote ili kisome mawazo ya mtu anayoyawaza, kituoneshe nia ya kuwaza hivyo na hata lengo la muhusika.
Haya sasa wadau wabunifu changamkieni fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na utata mwingi ambao huisumbua jamii juu ya kubaini ukweli wa jambo au wa mtu hasa mahakamani.
Hivi kweli mzungu/Mchina na akili (maana tunaamini hivyo) yake yote kweli ameshindwa kupata kifaa hicho!
Yaani kiwe kinawekwa kifuani au kwenye ubongo au popote ili kisome mawazo ya mtu anayoyawaza, kituoneshe nia ya kuwaza hivyo na hata lengo la muhusika.
Haya sasa wadau wabunifu changamkieni fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app