Kitu hiki tafsiri yake ni nini??

Kitu hiki tafsiri yake ni nini??

Hana haja ya kukunja samaki...................bora akamtupilie huko mbali

tunatofautiana kufanya maamuz, dah swala kama hili bado unasumbua button za keybod kuomba ushauri? heshima haiombwi.
 
Tupilia mbali hiyo gasia uchafu takataka. Usije ukaendekeza huo ujinga hapo ukivuta ndani ni kwamba Xwake atakuwa bado anakung'uta zaga kama kawa wapi na wapi hapo
 
nashukuru Mungu yametokea kabla hujamfanya kuwa mkeo mim nimeoa ndoa haitoki kwenye misingi ya namna hiyo achana na mambo mengine yote sjui 071.... Na mengineyo ila wewe achana na huyo mwanamke ni ibilisi sugua goti omba Mungu atakuonesha mke mwema na pia tambua usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio.pole sana na tambua kutafuta mwenz ni mtihan
 
Inaönekana wewe hujatulia, ndio maana mwenzio kaamua kukupa makavu live.!
 
Anasema alipitiwa, anaomba yaishe ... next time et she will be more consious ...

Okay sasa kwa jibu hili kaka yangu ndipo mjadala ulipotakiwa kuanzia. Kwa kuwa amejibu hivi ni wazi kuwa sio mwaminifu kwa mapenzi yenu kwani alitakiwa hata namba ya huyo alompigia asiwe nayo kabisa au alipoisikia tu kuwa ni sauti ya huyo Ex- wake angemkatia simu mara moja na sio kumwendekeza.
 
mkuu hawa viumbe co wa kuwaonea huruma kabxa mpge chn fasta kabla hajakudharau kabsa me naongea hapa nina exprence na hk ktu tibu ugonjwa kabla hujaenea mwil mzma.
 
Ukimchekea huyo kuna siku atakupeka kwenda kumsalimia X-wake. Urafiki kati ya mke/mpenzi wako na wanaume lazima uwe na mipaka. Huhitaji kujua who was/were her X. Mbaya zaidi anakwambia kwamba ndo aliyemtoa usichana. Duuuuuuuuuu. Kula leki, yaani unakamu kitu kilichokamuliwa na wengine. Sihitaji kujua mke wangu alitembea na nani kwani nikishajua naweza kumumwaga muda wowote kwani hawaaminiki hawa watu. Piga chini mkubwa huyo CD.
 
nashukuru Mungu yametokea kabla hujamfanya kuwa mkeo mim nimeoa ndoa haitoki kwenye misingi ya namna hiyo achana na mambo mengine yote sjui 071.... Na mengineyo ila wewe achana na huyo mwanamke ni ibilisi sugua goti omba Mungu atakuonesha mke mwema na pia tambua usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio.pole sana na tambua kutafuta mwenz ni mtihan

hana hata sidhani kwa type za wanawake kama huyo aliyekuwa nae anahitaji kumsumbua mungu na kusali amwonyeshe mke mwema...in short ni kuwa huko ulikompata huyo mtarajiwa wako na maeneo ya radius mita 1000 nakushauri usipite na kutafuta uchumba...huyo atakuwa amewaambukiza mabinti wote ndani ya eneo hilo na tabia zitakuwa sawa kwa takribani asilimia 95.
 
Act as a men format mzigo na find another gal who will lov u and install you operating system.
 
Piga chini fasta, imeshawah kunitokea japo kwa style tofauti lakn nilichofanya naamini ulimwengu wa mapenzi ulitetemeka..................siupendi kabisa huo upuuzi!! Piga chini kwa kishindo cha ajabu sana, hayo ni matusi makubwa sana kwa mwanaume.......eti X wake??????? Hapa naandika nina hasira utafkr nakufahamu jinsi unavyojisikia.......................PIGA CHINI HARAKA huo ndio ushauri sahihi usihangaike na ma-ushauri mengine ya kipuuzi wewe mtoto wa kiume wewe!! UMENIELEWA???????????????????????????????????????????????????
kwa uliyoyaandika nakufananisha na yule mwarabu wa dubai(tangazo la vodakom)NIPE SUTI TANO ZA GUCHI NA YALE MASHATI YA CHUICHUI.....
 
... bize akiongea na simu kwa furaha huku akiaga, ...huku yeye akikataliwa kukata simu na mimi nikihitajika kuipokea simu! ...ananiambia huyo ni X wake, yule aliyemtoa usichana...... yeye X wangu alishanipiga marufuku na nikamtii kitambo

I hope by now she is ur X!
 
nADHANI BADO MSICHANA HAJATULIA. yABIDI UKAE NAE UMWELE KWAMBA HUTAKI AWE NA MAWASILIANO NA RAFIKI YAKE WA ZAMANI. TENA ABADILI HATA LINE YA SIMU IL KUKUDHIHIRISHIA AMEFANYA KWELI. KAMA HATAKUBALI BASI UJUE BADO WANENDELEA KUWASILIANA KIMAPENZI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom