Kitu hiki tafsiri yake ni nini??

Kitu hiki tafsiri yake ni nini??

Anakurusha roho tu huyo,lakin na we shtuka ukiona manyoya ujue kaliwa
 
Nawasalimu wote! Ndugu yenu yamenikuta, jana natoka kazini 'Mtarajiwa' kajitolea kuja kunipokea ... ni kweli, hapo hamna tatizo, changamoto inakuja hapa, navuka barabara namkuta yupo bize akiongea na simu kwa furaha huku akiaga, mi kufika nikamkumbatia na kumpa 'kabusu' kadogo (Mambo ya vijana) huku yeye akikataliwa kukata simu na mimi nikihitajika kuipokea simu! Kidume bila kujua kinachoendea nikapokea na kuanza mazungumzo! Ile kuanza kuongea tu ndo huku 'Mtarajiwa' ananiambia huyo ni X wake, yule aliyemtoa usichana....jamani, nifanyeje? Binafsi sijielewi coz yeye X wangu alishanipiga marufuku na nikamtii kitambo, now haya ndo yananitokea .... naombeni tafsiri ya tukio hili!!Ni kawaida au kuna kitu chini ya moyo?????

Piga chini fasta, imeshawah kunitokea japo kwa style tofauti lakn nilichofanya naamini ulimwengu wa mapenzi ulitetemeka..................siupendi kabisa huo upuuzi!!

Piga chini kwa kishindo cha ajabu sana, hayo ni matusi makubwa sana kwa mwanaume.......eti X wake??????? Hapa naandika nina hasira utafkr nakufahamu jinsi unavyojisikia.......................PIGA CHINI HARAKA huo ndio ushauri sahihi usihangaike na ma-ushauri mengine ya kipuuzi wewe mtoto wa kiume wewe!!
UMENIELEWA???????????????????????????????????????????????????
 
Asa na wewee nini kujitia jaka moyo bure? Simu si yako wainyakua na kuanza mazungumzo? Wengine mnayatafutaga magonjwa ya moyo wenyewe!

Pole lakini.
 
Nawasalimu wote! Ndugu yenu yamenikuta, jana natoka kazini 'Mtarajiwa' kajitolea kuja kunipokea ... ni kweli, hapo hamna tatizo, changamoto inakuja hapa, navuka barabara namkuta yupo bize akiongea na simu kwa furaha huku akiaga, mi kufika nikamkumbatia na kumpa 'kabusu' kadogo (Mambo ya vijana) huku yeye akikataliwa kukata simu na mimi nikihitajika kuipokea simu! Kidume bila kujua kinachoendea nikapokea na kuanza mazungumzo! Ile kuanza kuongea tu ndo huku 'Mtarajiwa' ananiambia huyo ni X wake, yule aliyemtoa usichana....jamani, nifanyeje? Binafsi sijielewi coz yeye X wangu alishanipiga marufuku na nikamtii kitambo, now haya ndo yananitokea .... naombeni tafsiri ya tukio hili!!Ni kawaida au kuna kitu chini ya moyo?????

Hapo c kawaida. Mwanamke kama bado ana mawasiliano na x wake tena aliyemtoa usichana ujue bado wanatumiana. Ni vigumu sn kwa wanawake kumsahau mwanaume aliyemtoa usichana, hata ufanyeje. Labda wawe mbali na kuwe hakuna mawasiliano.
 
nimeelewa sawasawa?

Ina maana alikuwa anaongea na ex wake?
Then ex akamkataza kukata simu? (na yeye akatii????)
ex akaamuru upewe simu uongee??


Kama ni hivyo hiyo ni dharau ya hali ya juu....samaki mkunje angali mbichi...tafakari chukua hatua
 
Hapo c kawaida. Mwanamke kama bado ana mawasiliano na x wake tena aliyemtoa usichana ujue bado wanatumiana. Ni vigumu sn kwa wanawake kumsahau mwanaume aliyemtoa usichana, hata ufanyeje. Labda wawe mbali na kuwe hakuna mawasiliano.

nani kakudanganya kuwa hasahauliki????

Huyo mtarajiwa ndo mwenye matatizo.... Inawezekana yupo mguu mmoja kwa ex mguu mwengine kwa mleta uzi...bado hajafanya maamuzi......
 
nimeelewa sawasawa?

Ina maana alikuwa anaongea na ex wake?
Then ex akamkataza kulata simu? (na yeye akatii????)
ex akaamuru upewe simu uongee??


Kama ni hivyo hiyo ni dharau ya hali ya juu....samaki mkunje angali mbichi...tafakari chukua hatua

Naona umemlainishia aelewe!!
Japo nina mashaka kama anataka kuelewa!
 
Piga chini fasta, imeshawah kunitokea japo kwa style tofauti lakn nilichofanya naamini ulimwengu wa mapenzi ulitetemeka..................siupendi kabisa huo upuuzi!!

Piga chini kwa kishindo cha ajabu sana, hayo ni matusi makubwa sana kwa mwanaume.......eti X wake??????? Hapa naandika nina hasira utafkr nakufahamu jinsi unavyojisikia.......................PIGA CHINI HARAKA huo ndio ushauri sahihi usihangaike na ma-ushauri mengine ya kipuuzi wewe mtoto wa kiume wewe!!
UMENIELEWA???????????????????????????????????????????????????

Thx bro, nimekupata vilivyo ... ni kweli, nimezaraulika!
 
Ahahahahahaaaaaaaaaaa....the dealer umenichekesha mpaka mbavu sina

mfumo dume ni mfumo mbaya sana na unaonekana kum-nyanyasa sana mwanamke (kiumbe dhaifu au mwana-eva wa nyongeza)...ila in your whole living life dont ever even think of mfumo jike..huu ni mfumo ambao kiumbe dhaifu au mwana-eva au mwanamke anataka na kutetewa na ulimwengu woote kuwa-mmiliki na mtawala wa mwana-adamu.

Back to topic:- kijana huyo mtarajiwa wako anakuletea-mfumo jike wa kujifanya yupo open to you na kukukutanisha na the so called x-wake which in turn is your sown enemy..coz you were all fighting for a certain resource n that her....there will never b a friendship between a slave and a master..once beaten/defeated in the line of war your status turns to a slave...

Final cut...give her a last and serious warning n tell her to get back to her senses that you are living mfumo dume lifestle na sio mfumo jike...or accept mfumo jike and the next day u will find ur enemy undressing her pants on ur sofa couches.

Kuwa mwanaume wa kiumeni...sio mwanaume suruali.
 
Kuna sehemu inaonyesha aliinyakua hiyo simu?! Kasome upya.

Tujifunze kusoma kwa utulivu, unasoma kwa mihemko utadhani habari inakuhusu!!

Lol... umenifurahisha kuwa nasoma kwa mihemko naona kama vile weye ndo umehemka kwa kuijibu post yangu!!
kumbe hainihusu maana mie sio mwana MMU sio?! Aksante kwa ushauri ntarudia kuisoma.
 
Kwani ulivyopokea simu x wake alikwambia nini mpaka uwe na wazo kwamba si kitu cha kawaida?
 
Thx bro, nimekupata vilivyo ... ni kweli, nimezaraulika!

Ukimaliza kupiga chini lete uzi kuwa umempiga chini kwa sababu hio..........ili wengne wenye tabia km hizo wajifunze!!
Fanya hivyo usisahau.........km K ingekuwa na makombo manake ni kuwa huyo X wake kakubakishia makombo, ama kwa lugha nyingine jamaa kamtumia weeeeeeeeeee akaona haina hadhi ya kuweka ndani kakuachia wewe uweke ndani!!!
Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiit kabisa huyo demu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! hana nidhamu!!!!!!
Usiogope maumivu eti unampenda sana.............shauri yako!!!!!! utakula uoga wako, na kwa taarifa yako bado wanaendelea kugegedana taka usitake huo ndio ukweli we endelea kuunga foleni.....................be a man means an ability to stand alone an ability to be independent an ability to handle pressures an ability to put confrontations under control an ability to claim respect, full stop. Wenye mrengo wa kushoto kuhusu mfumo dume hapa inawa-hu!!!!!!!!!!
Kapige chini sasa hv, usiogope sawa?????!!!!!!
 
Munisijo mimi nakushauri hili swali kamwulize kwanza Mtarajiwa wako akueleze maana ya yeye kukukataza usiwasiliane na Ex wako/zako ilhali yeye bado anawasiliana nae/nao. Majibu atakayokupa ndo uje utuulize hapa kama yanajenga au yanabomoa! Otherwise hapa tutakupa probabilities ambazo hazitokupa ukweli au mwandani wa moyo wa Mpenzio.
 
nimeelewa sawasawa?

Ina maana alikuwa anaongea na ex wake?
Then ex akamkataza kukata simu? (na yeye akatii????)
ex akaamuru upewe simu uongee??


Kama ni hivyo hiyo ni dharau ya hali ya juu....samaki mkunje angali mbichi...tafakari chukua hatua

Hana haja ya kukunja samaki...................bora akamtupilie huko mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom