king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,039
Ukweli mtupu
Shida masikini wengi tunajiliwaza kwa kudhanj kila mwenye utajiri amefanya dhulma
Hii dhana huwa nashangaa sana kwa kweliShida masikini wengi tunajiliwaza kwa kudhanj kila mwenye utajiri amefanya dhulma
Unadhani why people do believe thatHii dhana huwa nashangaa sana kwa kweli
Yaani utakuta wengi wanakubaliana na hii dhana ajabu sana
Umaskini nothing elseUnadhani why people do believe that
Wakiona labda unawabana sana kwa maswali kuhusu chanzo cha utajiri wao,utawasikia changamka kijana mjini hapa.Ila matajiri amabao wanapata hela zao kihali wapo,japo katika 1000 hawazidi watatu.Umewahi jiuliza inakuaje -watu wanaofundisha wenzao kufanikiwa, maisha yao pia bado ni ya kuunga unga tu na pengine hiyo kazi ya kumotivate watu ndo chanzo cha mkate mezani kwake?
Mwalimu wa marketing na ujasiliamali hana hata kiosk cha mboga mboga!!!!
Basically, wanopaswa kufundisha watu namna ya kufanikiwa ni wale ambao wameshatusua ili wanachokifundisha kiwe ni zao la practical experience na sio merely theory
Ila katu matajiri hawatokaa hata siku moja wakuambie ukweli namna ya kufanikiwa na ni jinsi gani walipata pesa maishani mwao
A matter of fact, asilimia kubwa ya watu waliotoka kimaisha kuna game chafu walizozicheza na kujikuta kwenye direction waliopo Leo, wako:
waliodhurumu
Walioiba
Walioua
Waliotoa makafara
Wanaomiliki jini chuma ulete
Waliodanga na wenye nazo kisha wakawaua wapenzi wao ili walithi mali etc
Haya mambo, hakuna tajiri atakuambia aliyafanya, lnstead atakuhimiza Fanya kazi kwa bidii na weledi.
Mdau leta uzoefu wako ktk hili
Ushasikia skendo zake za kuifilisi SUKITA na NBC,hebu itafute habari ile ya Rostam Aziz alivyomwaga ugali,baada ya mengi kumweka ktk list yake ya mafisadi wanaoitafuna nchi hii.Ngoja nikuwekee na habari hii na ilivyoweka ndio ikawa mwisho wa vyombo vya habari vya IPP kumuandama Rostam Aziz.Hapo utapata majibu kwanini wafanya biashara wengi hasa wale mafisadi wanapenda kumiliki vyombo vya habari.Hayo hayamuhusu mzee wetu Reginald Mengi,, hustling zake zinajulikana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Fanya kazi ikitokea nafasi ya kuiba iba bila hofu
ikitokea kazi ya kudhulumu wewe fanya hivyo
ikitokea unahitajika utoe kafara wewe toa tu
ila msingi ni kufanya kazi huwezi ukatoa kafara ukalala nyumbani kisha hela zikakuangukia kama mvua ya hela
nasikia anahusishwa na nbcyeah na kalamu za BIKI enzi zile
mnyanwezi wa igunga rostam aziz ana habari nyingi za nchi hiiUshasikia skendo zake za kuifilisi SUKITA na NBC,hebu itafute habari ile ya Rostam Aziz alivyomwaga ugali,baada ya mengi kumweka ktk list yake ya mafisadi wanaoitafuna nchi hii.Ngoja nikuwekee na habari hii na ilivyoweka ndio ikawa mwisho wa vyombo vya habari vya IPP kumuandama Rostam Aziz.Hapo utapata majibu kwanini wafanya biashara wengi hasa wale mafisadi wanapenda kumiliki vyombo vya habari.
MICHUZI BLOG: MAELEZO YA MHESHIMIWA ROSTAM AZIZ KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI, JUMAPILI, 03 MEI, 2009
Hakuna kitu kama hicho, ati kutajirika kwa kutoa kafara na kudhulum.Umewahi jiuliza inakuaje -watu wanaofundisha wenzao kufanikiwa, maisha yao pia bado ni ya kuunga unga tu na pengine hiyo kazi ya kumotivate watu ndo chanzo cha mkate mezani kwake?
Mwalimu wa marketing na ujasiliamali hana hata kiosk cha mboga mboga!!!!
Basically, wanopaswa kufundisha watu namna ya kufanikiwa ni wale ambao wameshatusua ili wanachokifundisha kiwe ni zao la practical experience na sio merely theory
Ila katu matajiri hawatokaa hata siku moja wakuambie ukweli namna ya kufanikiwa na ni jinsi gani walipata pesa maishani mwao
A matter of fact, asilimia kubwa ya watu waliotoka kimaisha kuna game chafu walizozicheza na kujikuta kwenye direction waliopo Leo, wako:
waliodhurumu
Walioiba
Walioua
Waliotoa makafara
Wanaomiliki jini chuma ulete
Waliodanga na wenye nazo kisha wakawaua wapenzi wao ili walithi mali etc
Haya mambo, hakuna tajiri atakuambia aliyafanya, lnstead atakuhimiza Fanya kazi kwa bidii na weledi.
Mdau leta uzoefu wako ktk hili