Umewahi jiuliza inakuaje -watu wanaofundisha wenzao kufanikiwa, maisha yao pia bado ni ya kuunga unga tu na pengine hiyo kazi ya kumotivate watu ndo chanzo cha mkate mezani kwake?
Mwalimu wa marketing na ujasiliamali hana hata kiosk cha mboga mboga!!!!
Basically, wanopaswa kufundisha watu namna ya kufanikiwa ni wale ambao wameshatusua ili wanachokifundisha kiwe ni zao la practical experience na sio merely theory
Ila katu matajiri hawatokaa hata siku moja wakuambie ukweli namna ya kufanikiwa na ni jinsi gani walipata pesa maishani mwao
A matter of fact, asilimia kubwa ya watu waliotoka kimaisha kuna game chafu walizozicheza na kujikuta kwenye direction waliopo Leo, wako:
waliodhurumu
Walioiba
Walioua
Waliotoa makafara
Wanaomiliki jini chuma ulete
Waliodanga na wenye nazo kisha wakawaua wapenzi wao ili walithi mali etc
Haya mambo, hakuna tajiri atakuambia aliyafanya, lnstead atakuhimiza Fanya kazi kwa bidii na weledi.
Mdau leta uzoefu wako ktk hili
Mwalimu wa marketing na ujasiliamali hana hata kiosk cha mboga mboga!!!!
Basically, wanopaswa kufundisha watu namna ya kufanikiwa ni wale ambao wameshatusua ili wanachokifundisha kiwe ni zao la practical experience na sio merely theory
Ila katu matajiri hawatokaa hata siku moja wakuambie ukweli namna ya kufanikiwa na ni jinsi gani walipata pesa maishani mwao
A matter of fact, asilimia kubwa ya watu waliotoka kimaisha kuna game chafu walizozicheza na kujikuta kwenye direction waliopo Leo, wako:
waliodhurumu
Walioiba
Walioua
Waliotoa makafara
Wanaomiliki jini chuma ulete
Waliodanga na wenye nazo kisha wakawaua wapenzi wao ili walithi mali etc
Haya mambo, hakuna tajiri atakuambia aliyafanya, lnstead atakuhimiza Fanya kazi kwa bidii na weledi.
Mdau leta uzoefu wako ktk hili