Kitoto cha 2007 kimenitumia kimemo nikivishe pete!

Kitoto cha 2007 kimenitumia kimemo nikivishe pete!

Beberu Mwitu

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2019
Posts
491
Reaction score
692
Dunia hii inaenda wapi?

Leo katika harakati zangu za kujitafuta nikaenda mahali fulani. Mara nikakutana na katoto kadogo kanasoma darasa la sita, kakaniambia " Uncle samahani, dada amesema nikupe hiki kikaratasi".

Ile kufungua nikapigwa na butwaa baada ya kukutana na maneno haya" Kaka X nakupenda sana naomba univalishe pete nzuri niridhike". Mamaaa nikaona jela hii hapa, kabinti kanasoma form 4 shule moja hivi hapa Dar.

Aisee nimemuangalia mdogo mtu nikasepa zangu, ile narudi kupitia njia ile ile, kakaja tena. Dada anaulizia jibu lake. Nikamjibu "kamwambie ayapende masomo yake".

Wazazi muwalinde watoto wenu.
 
downloadfile.jpg
 
Dunia hii inaenda wapi?

Leo katika harakati zangu za kujitafuta nikaenda mahali fulani. Mara nikakutana na katoto kadogo kanasoma darasa la sita, kakaniambia " Uncle samahani, dada amesema nikupe hiki kikaratasi".

Ile kufungua nikapigwa na butwaa baada ya kukutana na maneno haya" Kaka X nakupenda sana naomba univalishe pete nzuri niridhike". Mamaaa nikaona jela hii hapa, kabinti kanasoma form 4 shule moja hivi hapa Dar.

Aisee nimemuangalia mdogo mtu nikasepa zangu, ile narudi kupitia njia ile ile, kakaja tena. Dada anaulizia jibu lake. Nikamjibu "kamwambie ayapende masomo yake".

Wazazi muwalinde watoto wenu.subiri 2027 kafikishe 20 yrs laa sivyo hatua za kisheria zitakuukumu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom