Beberu Mwitu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 491
- 692
Dunia hii inaenda wapi?
Leo katika harakati zangu za kujitafuta nikaenda mahali fulani. Mara nikakutana na katoto kadogo kanasoma darasa la sita, kakaniambia " Uncle samahani, dada amesema nikupe hiki kikaratasi".
Ile kufungua nikapigwa na butwaa baada ya kukutana na maneno haya" Kaka X nakupenda sana naomba univalishe pete nzuri niridhike". Mamaaa nikaona jela hii hapa, kabinti kanasoma form 4 shule moja hivi hapa Dar.
Aisee nimemuangalia mdogo mtu nikasepa zangu, ile narudi kupitia njia ile ile, kakaja tena. Dada anaulizia jibu lake. Nikamjibu "kamwambie ayapende masomo yake".
Wazazi muwalinde watoto wenu.
Leo katika harakati zangu za kujitafuta nikaenda mahali fulani. Mara nikakutana na katoto kadogo kanasoma darasa la sita, kakaniambia " Uncle samahani, dada amesema nikupe hiki kikaratasi".
Ile kufungua nikapigwa na butwaa baada ya kukutana na maneno haya" Kaka X nakupenda sana naomba univalishe pete nzuri niridhike". Mamaaa nikaona jela hii hapa, kabinti kanasoma form 4 shule moja hivi hapa Dar.
Aisee nimemuangalia mdogo mtu nikasepa zangu, ile narudi kupitia njia ile ile, kakaja tena. Dada anaulizia jibu lake. Nikamjibu "kamwambie ayapende masomo yake".
Wazazi muwalinde watoto wenu.