Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
mi ntaanda ugali...mtu alete konyagi basi
Naona hapo ukiweka ndimu na kachumbari itakuwa ni balaaa tupu hukaribishi wageni unakula peke yako wewe tu na ashemeji yangu mwahhhh
Kumbe kuna Wanachama wengi humu ndani wa huyu Ibilisi? Hakyanani kweli........hakyanani huyu ibilisi ni mtamu sana .
a.k.a mdudu!!!??Ukisema kitimoto unakuwa unamshusha hadhi huyu mheshimiwa. Sema mkuu wa meza.
Naona hapo ukiweka ndimu na kachumbari itakuwa ni balaaa tupu hukaribishi wageni unakula peke yako wewe tu na ashemeji yangu mwahhhh
Sisi huku Ujerumani huwa tumuita Schwein (Shwain) Au kwa Lugah ya Kibantu Kitomoto hichooooooooo........ Wajerumani wanampenda sana huyu Shwain.. Kitomoto...Mnyama huyu anapendwa kuliko binadamu