Is there any posibilities of having legal department here at JF? Kiwe kitengo cha kuzungumzia Sheria mbalimbali ili tuweze kuleta Mawakili, Majaji Mbalimbali kwenye forum hii ya JF. Natanguliza shukrani.
Is there any posibilities of having legal department here at JF? Kiwe kitengo cha kuzungumzia Sheria mbalimbali ili tuweze kuleta Mawakili, Majaji Mbalimbali kwenye forum hii ya JF. Natanguliza shukrani.
Hapo tuta enjoy sana. Wako wenzetu wakina Agustoons watatusaidia hapa kwa habari za legal issues. Tutajenga kesi na kuwasaidia watu katika haki zao.
Mungu akubariki Max
Hapo tuta enjoy sana. Wako wenzetu wakina Agustoons watatusaidia hapa kwa habari za legal issues. Tutajenga kesi na kuwasaidia watu katika haki zao.
Mungu akubariki Max
Haya majukwaa inabidi yakianzishwa yawe na uendeshaji tofauti na yanahitaji moderators wake maalumu, ndio maana tunajiandaa badala ya kukurupuka kuyaanzisha. Tupeni wiki hii tu
Haya majukwaa inabidi yakianzishwa yawe na uendeshaji tofauti na yanahitaji moderators wake maalumu, ndio maana tunajiandaa badala ya kukurupuka kuyaanzisha. Tupeni wiki hii tu