so what my lady?Wakuu,
Kitima ametambulisha viongozi wa sasa serikalini pamoja na wastaafu, shangwe la majaliwa sio la nchi hii
Wewe utakuwa mchawi sio bureso what my lady?
au ndio ile ufahari msibani bu wakati mzee pengo anaugua mlikua kimya akihangaika mwenyewe right?
upuuzi mtupu mnajaribu kuleta msibani ndugu wanafikiWewe utakuwa mchawi sio bure
Bongo chenga sana 🤣
Chawa mwandamiziso what my lady?
au ndio ile ufahari msibani,
wakati mzee pengo anaugua mlikua kimya akihangaika mwenyewe right?
jikite kwenye hoja bila kuweweseka na nonsense gentlemanChawa mwandamizi
Impact yake ni nini?Mwanzo nilikuwa sielewi, sasa nimeelewa. Wananchi hawaitambui serikali ya Samia. Sijui Mwigulu kajisikiaje
Chuki inaenea, au hujui impact ya chuki kwa uongozi?Impact yake ni nini?
Tukichukulia mfano wa chadema kama chama, nadhani toka 2010 kila baada uchaguzi wanasema hawatambui rais, unaona imeleta impact gsni toka 2010 mpaka sasa.Chuki inaenea, au hujui impact ya chuki kwa uongozi?
Nifafanulie naweza ogopaWe huogopi?![]()