Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".
prof unasema bunge lishirikishwe bunge lenyewe limejaa wakina nape unazani watashauri nini.Mtu kama maji marefu what do you expect in bunge
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".
Hawapandishi kama mafungu ya nyanya wweKindergateni One
nakuunga mkono hapakuwepo sababu za msingi wakati walipobadili kutoka divisions kuja GPA mbali na kuwaongopea wadanganyika kwamba kiwango cha elimu kimepanda. Hizi mbwembwe pia zimeendelea kuonekana wanapotaja neno Big Reuslts Now (Matokeo Makubwa Sasa). Hivi ni kichaa gani anayewaza kuwa na mabadiliko makubwa bila kufanya chochote bali maneno? How do you expect changes without intervention? Hiyo ni miujiza ya Tanazania. Hii naifananisha wimbo wa uitwao 'kisa cha mpemba' ambako mzee wa watu alishangaa na kushutuka ni wapi maini yametoka wakati kaacha pesa kidogo. Hivi kwa nini sisi hatushutuki?
GPA kama GPA haina tatizo lolote bali ni swala la kuipandisha tu. Unaweza kuitafsiri GPA kama ifutavyo 1.1-2 (21-40% ), 2.1- 3(41-60% ), 3.1-4 (61-80%), na 4.1-5 (81- 100). Hivyo unaweza kusema waliofaulu waanze na GPA ya 1.5 badala ya kuishusha ikawa 1 au chini yake.
Kwa mantiki hiyo unaweza kuona kwamba GPA kama GPA haina tatizo sawa na unavyoweza kusema division iv ianzie na point 40
Kwa msiokua na fikra za mbali ameshindwa kumwelewa Prof Mkumbo! Kinachozungumzwa hapa ni hakuna consistance! Kila awamu ni kubadili mfumo tu, kila waziri na lake! Kilichotakiwa hapa ni kuboresha mfumo hasa kupanfisha alama za ufaulu badala ya kuzishusha.Huyu nae ni jipu
Kwa msiokua na fikra za mbali ameshindwa kumwelewa Prof Mkumbo! Kinachozungumzwa hapa ni hakuna consistance! Kila awamu ni kubadili mfumo tu, kila waziri na lake! Kilichotakiwa hapa ni kuboresha mfumo hasa kupandisha alama za ufaulu badala ya kuzishusha.
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".
alialichokifanya Pr. Ndalichako ni sahihi kabisa mfumo wa division ulikuwa umezoeleka na ulikuwa hauna mkanganyiko, hizi za GPA zimeleta mkanganyiko sio kwa wanafunzi tu hadi wazaziKwa msiokua na fikra za mbali ameshindwa kumwelewa Prof Mkumbo! Kinachozungumzwa hapa ni hakuna consistance! Kila awamu ni kubadili mfumo tu, kila waziri na lake! Kilichotakiwa hapa ni kuboresha mfumo hasa kupanfisha alama za ufaulu badala ya kuzishusha.
Ni right kabisa mkuu! But we don't have consistance! Utasikia akitoka Ndalichako atakuja mwingine na interest zake atazirufisha tena GPA.alialichokifanya Pr. Ndalichako ni sahihi kabisa mfumo wa division ulikuwa umezoeleka na ulikuwa hauna mkanganyiko, hizi za GPA zimeleta mkanganyiko sio kwa wanafunzi tu hadi wazazi
Not yet democracyNi right kabisa mkuu! But we don't have consistance! Utasikia akitoka Ndalichako atakuja mwingine na interest zake atazirufisha tena GPA.
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".