Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,913
Mbona uko nyuma sana. Huyo tangu Zitto anapambana mahakamani na CHADEMA kuvuliwa ubunge na kufukuzwa uanachama yeye ndo alikuwa mwanasheria wa Zitto. Na alipohamia ACT jamaa naye akahama naye na ndie mwanasheria wa ACT i betNaona Zitto ametweet kuwa kuanzia sasa mshauri wa chama cha ACT atakayemrithi Kitila Mkumbo ni ndugu mwanasheria Albert Msando.
Kwa uelewa wangu huyu alikuwa ni diwani na mwanasheria wa Chadema.
Je ameshahama au la ?
Nini maoni yako ...?