GE2025 Kitila Mkumbo aomba kura kwenye daladala

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Professa Kitila Alexander Mkumbo leo Septemba 12, 2025 amefanya kampeni za aina yake kwa kuomba kura kwa abiria walio ndani ya Daladala zilizokuwa zinachukua abiria katika Kituo cha Riverside, Ubungo Dar Es Salaam.

Kitila ambaye anaomba ridhaa ya kuwawakilisha wananchi wa jimbo hilo kwa mara ya pili aliwaomba abiria waliokuwa katika usafiri huo kumpigia kura Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan huku akijiombea kura na yeye.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…