augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
mbona huyu mama kipindupindu namna hiyo? Anafikiri watanzania bado tumelala?
bikiroboto a.k.a.bikidude
mbona huyu mama kipindupindu namna hiyo? Anafikiri watanzania bado tumelala?
bikiroboto a.k.a.bikidude
Huyu mama anaakili ndogo kama za sisimizi (nyenyere)
Huyu mama anaakili ndogo kama za nyenyere
....................Wana jamvi,huyu mama anaakili hafanyi vile kwa bahati mbaya,anashinikizwa na waliomweka,sio kosa lake ingawa anastahili kubeba lawama lkn hana jinsi,hatumii akili yake kufikiria na kufanya maamuzi ndo maana anayumba sana....Bora uwe na upofu wa macho lakini sio upofu wa akili kama huyu mama makinda...Mbona ni rahisi sana kusema ukweli kuliko uongo huyu mwanamke dhaifu anashindwa nini kusema kile ambacho watanzania kama taifa waliona bila chenga kuwa yeye ndio alionesha utovu wa nidhamu akishirikiana na mwanaharamu mwenzie Ndugai...na kwamba huyu Lisu alionekana na kila mtanzania kuwa ni mtetezi na mweledi wa kanuni,sheria na taratibu za bunge ambazo spika na naibu walionekana kutozifahamu na kulazimisha ushabiki wa chama chao kinachoua ustawi wa taifa hili..shame on you mama sura mbaya na mzee ndugai kichwa baya nyie