Kitengo, sera za usalama CHADEMA viimarishwe

hojja yako ni nzuri sana na mapendekezo yako yanaelewena na nakubaliana na wewe kabisa,kazi iliyopo ni uongozi wa CDM kuufanyia kazi ushauri wako.
 
Naunga mkono hoja yako, umekumbusha jambo moja la muhimu sana. Sera ya usalama CDM ipo, na kama
unavyosisitza wahimarishe kitengo kwa wakati huu, ambapo hofu imetawala ya kudhuliwa kwa viongozi wa upinzani.
Viongozi wa CDM ni wasikivu na wanatenda kazi kwa matakwa ya wananchi. Mawazo mapya na hoja za msingi za
maendeleo kwa nchi huwa wanazifanyia kazi mara moja, kwa hiyo swala lako limewafikia ni wasikivu.
 
Katika nchi hii Tz ambayo siasa zake zinafanyika ki adui sana(kwa chini chini) huku kukionekana dalili za kumalizana kisiasa kwa wale wanaoonyesha ujasiri wa kupinga maovu na kuipigania nchi, nadhani katika hatua za kujizatiti ni wakati muafaka kwa chama kama chadema ambacho kinaonesha mvuto na matumaini kwa jamii iliyochoka ya watanzania, kuanzisha idara maalum kwa ajili ya usalama...nikimaanisha.. a proper intelligence unit(si kikosi cha ulinzi kama sijui red/green/blue guard..no)....yaani wawe na proper intelligence unit ambao watafanya kazi underground..(kama wanavyofanya kazi TISS or mossad or CIA).....yaaani wawe properly trained nje ya nchi kama Israel or China or Russia(kuanzia sasa) ili waje waimarishe security haswa kama itakuja tokea chadema kuchukua dola(maana TISS wanawafanyia kazi ccm).Nasema hivi kwa kuwa naelewa chadema wamekuwa na mikakati kadha wa kadha ya kuchukua dola come 2015.....hivyo basi shime shime mikakati yao pia iliangalie hili suala(kama bado hawajalifikiria)na mipango ya kuanzisha hii intelligence unit ianze sasa fasta kwa vijana kupelekwa kusoma proper.Nasema hivi kwani kwa mambo ambayo tunayaona yakifanyika nchi hii haswa wakati wa chaguzi zetu kweli inauma saana...maana tumeona jinzi ambavyo TISS wameshiriki kuiingiza dola iliyopo madarakani,tunasikia hata sasa jinsi ambavyo maamuzi mengi yenye hujuma yanavyofanywa kwa kuwatumia hawa TISS na hata maandalizi ya ccm kuchukua dola tena 2015 huku wakiwatumia TISS.Hili jambo kama chadema watakaa tu bila kulifanyia kazi basi tusitegemee real change(itakuwa ngumu sana).....lazima kuwe na counter measures za kudili na counter intelligence issues ili kuwakabili hawa TISS kimbinu pale ambapo wameshaonekana kuingilia maamuzi mengi yaliyoonekana kuwapa faida chadema(haswa kwenye chaguzi zetu).....i just suggest....
 
Jamani mbona sijaona airbag zimefumuka? au ni mimi tu?

kweli kabisa umekumbusha jambo la maana sana, kwa staili ya wabunge usiku mchana wapo barabarani kati ya Dar na Dom ni muhimu ana magari yakawa na vifaa vyote vya kiusalama.
 

1.Gari zao zifungwe gavana, mwisho speed 60
2.wamdhibiti sugu asiendeshe gari wakati amestua ndumu.
 

Yaani uko juu mkuu,. Kamata tano. Unamaliza kabisa mwenye macho na aone na mwenye masikio asikie. Maneno na ushauri wako unapaswa kuzingatiwa lakini kuna watu wanabisha kila kitu.
 


sawa una idea nzuri, lakini kuhusu kuendesha gari hakuna tatizo kwani hata leseni za watu wenye ulemavu kama yeye zinatolewa pale TRA. Haruhusiwi kuendesha gari ambazo ni manual ila automatic anaendesha bila tatizo. hope kibaya hapo ni kama hawakuvaa mkanda. ila kibaya zaidi ni barabara zetu kuwa mbaya sana, kwa wale madereva wenzangu watakubaliana nami kuwa kutoka kibaha mlandizi mpaka chalinze, kutoka Gairo mpaka dodoma barabara inateleza sana na ina mawimbi makubwa, then ni finyu mno. Hivi ndo vyanzo vya ajali maeneo hayo na si kingine

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…