Kibiki Kititu
Member
- Feb 13, 2018
- 38
- 16
Kitengo hiki kimekuwa kinatutesa Sana wakandarasi(Sector binafsi), kwani wakipelekewa madai ya wakandarasi na waajiri (Clients) wao wamekuwa wanazingua Sana kulipa!
Kwa mfano kwa Sasa hivi wamekaa na invoice za Malipo ya wakandarasi zaidi ya miezi 3 Sasa!!
Fikiria mkandarasi huyo huyo anatakiwa kulipwa ili awalipe wafanyakazi wake, anatakiwa alipwe ili awalipe suppliers wake pia!
Kitendo Cha kuchelewesha Malipo ya watu ambao wameshafanya kazi na kazi zao zimekaguliwa zaidi ya Mara tatu ni unyanyasaji mkubwa Sana!!
Kwa mfano kwa Sasa hivi wamekaa na invoice za Malipo ya wakandarasi zaidi ya miezi 3 Sasa!!
Fikiria mkandarasi huyo huyo anatakiwa kulipwa ili awalipe wafanyakazi wake, anatakiwa alipwe ili awalipe suppliers wake pia!
Kitendo Cha kuchelewesha Malipo ya watu ambao wameshafanya kazi na kazi zao zimekaguliwa zaidi ya Mara tatu ni unyanyasaji mkubwa Sana!!