Pili usiyoila yakuwashia nini?CHADEMA hawana power mbele ya mwenyekiti. Ndio maana ukiangalia hata risiti ya kukodi ndege imeandikwa BUYER kuwa ni Mbowe badala ya chama... Hapo haikwepeki m/kiti kashapiga mpunga kwenye matatizo ya Lissu.
Pili usiyoila yakuwashia nini?CHADEMA hawana power mbele ya mwenyekiti. Ndio maana ukiangalia hata risiti ya kukodi ndege imeandikwa BUYER kuwa ni Mbowe badala ya chama... Hapo haikwepeki m/kiti kashapiga mpunga kwenye matatizo ya Lissu.
Pole sanampuuzi mmemshindwa kwa hoja hadi mmeamua kumvamia kwa SMG?