Kiwia kura hazikurudiwa yeye alilizwa tu mapema, na wenje ndiye aliyeomba kura zirudiwe kuhesabiwa, fikiria kashindwa kata 14 kaambulia kata 4, kimsingi wenje ndio kamchakachua mabula. Haiwezekani ushinde kata nne tu halafu upate kura nyingi kiasi hicho!!!