Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Feb 19, 2010 #1 kitendawili? / / / nipe mji...............
Masaki JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,463 753 Feb 19, 2010 #3 Ya kwanza unakunywa utotoni, ya pili ukiwa mwanafunzi, ya tatu ukiwa mtu mzima, ya nne ukizeeka!
M mchajikobe JF-Expert Member Aug 14, 2009 2,652 1,238 Feb 19, 2010 #4 Masaki said: Ya kwanza unakunywa utotoni, ya pili ukiwa mwanafunzi, ya tatu ukiwa mtu mzima, ya nne ukizeeka! Click to expand... Acha uongo unataka kuniambia kila mtu anayewekewa drip ni mzee,au kila ukiwa mtu mzima unakunywa pombe?Wee kama vipi mpe mji tuu!!
Masaki said: Ya kwanza unakunywa utotoni, ya pili ukiwa mwanafunzi, ya tatu ukiwa mtu mzima, ya nne ukizeeka! Click to expand... Acha uongo unataka kuniambia kila mtu anayewekewa drip ni mzee,au kila ukiwa mtu mzima unakunywa pombe?Wee kama vipi mpe mji tuu!!