Tamisemi Mmetangaza kazi za ualimu ambapo mwisho wa maombi ni Tarehe 15 March 2019 na waombaji ni lazima waombe kupitia mfumo wa internete wakati mnajua fika kwamba: 1) Mfumo wenu ni dhaifu sana haufunguki kabisa 2) Kwa udhaifu wa Mfumo wenu wa internete hivi kijana alioko wilayani anaweza kuomba? au ni njia mojawapo ya kuhakikisha wanyonge hawaombi ili muweke ndugu zenu?
Waziri wa tamisemi tafadhali saidia vijana wanyonge na hii dhaluma, hii inafanyika kwa makusudi kabisa.
Waziri wa tamisemi tafadhali saidia vijana wanyonge na hii dhaluma, hii inafanyika kwa makusudi kabisa.