Kitendawili cha kidijital hahhahha

Kitendawili cha kidijital hahhahha

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,001
Reaction score
72,284
Mwalimu aliingiaa darasanii na akawapa kitendawili wanafunzi wala darasa la tano:

Mwalimu:KITENDAWILIIIIIIIIII
Wanafunzi:TEGAAAAAAAAAAAAA
mwalimu:ni timu gani ikifunga,ikifungwaaa pia ikidroo inabaki kuwa ni namba 7 tu??
Wanafunzi:Man uuuuuuuuuuuuu

chezeaa vitendawili vya kisasaa
 
Na timu gani iko top 4 inaongoza kufungwa magoli mengiii???
 
Back
Top Bottom