Kitanda cha mtoto kinauzwa kwa bei ya shilingi 200,000. kina kabati lake kwa ajili ya vitu vidogo vidogo vya mtoto, kina droo chini ya kitanda, kina neti maalumu na godoro lake, kina uwezo wa kubembea ili kumbembeleza mtoto. kinafaa kwa mtoto wa siku moja mpaka mwaka mmoja.