KITANDA CHA MTOTO KINAUZWA

KITANDA CHA MTOTO KINAUZWA

Dilas

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
87
Reaction score
69
Kitanda cha mtoto kinauzwa kwa bei ya shilingi 200,000. kina kabati lake kwa ajili ya vitu vidogo vidogo vya mtoto, kina droo chini ya kitanda, kina neti maalumu na godoro lake, kina uwezo wa kubembea ili kumbembeleza mtoto. kinafaa kwa mtoto wa siku moja mpaka mwaka mmoja.
 

Attachments

  • 92ba57889e2ebe563ebc0deb2828f8da68fd0036.jpg
    92ba57889e2ebe563ebc0deb2828f8da68fd0036.jpg
    152.1 KB · Views: 171
  • 5095bc1206423a23b87769ad71e47089f82377d1.jpg
    5095bc1206423a23b87769ad71e47089f82377d1.jpg
    126.1 KB · Views: 167

Similar Discussions

Back
Top Bottom