3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,580
- 16,279
Tabata ipi mkuu?Dsm. Tabata
Tabata ipi mkuu?Dsm. Tabata
Acha Dharau Mkuu.. Kama wewe unalala pazuri basi Shukru Sana Mungu.Heee icho chumba cha binadam! or zizi la mbuz katorik??
No mkuu sio kuwa nadharau icho chumba! Mimi nashangaa jinsi icho chumba kilivyo kichafuAcha Dharau Mkuu.. Kama wewe unalala pazuri basi Shukru Sana Mungu.
bado kipo???Habari wakuu.
Nauza kitanda ch futi 5 x6, (mbao ya mninga) pamoja na godoro lake (dodoma QFL). Kitanda ni kizuri.
Bei 220,000/= Mawasiliano: 0755 831973
View attachment 1608045View attachment 1608046
Kuna jamaa nmempa contact zako atakucheki..Bado nincho. Nilisafiri kdg. Nimerudi. Karibu uchukue mali